Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yess but united inacheza vzr sana kipindi hiki, na magoli ndio yameshaanza kupatikana hivo,
[HASHTAG]#tukutanemay[/HASHTAG]

Am here to remind you bro.
1480833596104.jpg


Hii ndio hali halisi kwa makocha Wa jiji la Manchester. Ni kumbeba kila siku mfalme wao Conte.

Cc: everlenk Nzi RRONDO cute b

 
Hii game ya leo sio ya mchezo na wala sio ya kupanga watoto!

Tukipoteza au tukisuluhu tunashushwa nafasi ya saba.
 
Back
Top Bottom