Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Nipo huwa nachungulia natokaSafi tu. Umepotea sana aisee.
Nipongeze Kwa ushindi basi![]()
![]()
Hahahaa hongera kwa ushindi mzito mjitahidi semi tukutane Wembley
Nipo huwa nachungulia natokaSafi tu. Umepotea sana aisee.
Nipongeze Kwa ushindi basi![]()
![]()
Tutakutana final hiyo.Nipo huwa nachungulia natoka
Hahahaa hongera kwa ushindi mzito mjitahidi semi tukutane Wembley
Usijali, ushindi utaanza kuja si muda mrefu...[HASHTAG]#tutafika[/HASHTAG].
kinachoniuma kwenye epl kwanini hatushindi hivi.
How i wish!!!!! Ohhh my God let it happen.....Nipo huwa nachungulia natoka
Hahahaa hongera kwa ushindi mzito mjitahidi semi tukutane Wembley
Pogba aanzie benchi tena game ijayo waanze hawa hawa kwakuwa rooney hatacheza basi awekwe mata
amen.Usijali, ushindi utaanza kuja si muda mrefu...[HASHTAG]#tutafika[/HASHTAG]
Asante sana mylove .....
Kombe la mbuzi mkuu...
Msimu wetu huu mkuuTutakutana final hiyo.
Asante sana. Naona mpo vizuri
Mjiandae kisaikolojia maana siku hiyo hakuna kupaki treni ili mpate drooHow i wish!!!!! Ohhh my God let it happen.....
We arsenal nn Mkuu hilo la mbuzi we unalo..??Kombe la mbuzi mkuu...
Kwa mfano nikiwa Man Utd ndio inajustify hilo kombe kuwa la mbuzi?!We arsenal nn Mkuu hilo la mbuzi we unalo..??
Ahsante mkuu, acha tukomae na hili la mbuzi angalau mwisho wa msimu tuwe na cha kusema, kuna eti wale wanaotaka UEFA na EPL wakati nafasi yao ni ya nne we all know that.
Still kuna watu eti hawaoni maendeleo.MUFC have scored 4 goals in a match, 4 times, under Jose in 22 games,
they scored 4 goals in a match, 4 times, under LvG in 103 games
Nadhani huyo asiejua umuhimu wa pogba hakuangalia mpira jana katikati walikuwa holding tu sana wamecheza pembezoni kwa valencia to mikki na shaw to martial yaan angekuwepo pogba ingekuwa balaaKisa tumeshinda..!!
Tungetoa sare hapa ungeandamana kwanini Pogba hajacheza..!!
Muhimili wa timu yetu kwa sasa uko chini ya Pogba, Hererra na Mata kwa mbali na Carrick. Mtoe mmoja wapo hapo kwa mechi tatu mfululizo uone kitakachotokea..!!