Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kaangalie hizo statistics tena na uzichambue kidogo sio unafanya copy & paste then unakuja kupiga kelele hapa Henderson,Fernandinho na Drinkwater ndio viungo wenye more touch kuliko Pogba na wote waliomzidi wamecheza mechi 10 while Pogba amecheza mechi 9
Katika wote hao Pogba ndio mdogo (23),Hendo (26) ,Fernandinho(31) na Pogba anacheza msimu wa kwanza kwenye EPL while Drinkwater msimu wa 3,Fernandinho wa 4 na Hendo huu ni msimu wake wa 9,

So Henderson is best centre midfielder in EPL ?


Statistics never lie but liers use statistics

Usingemjibu
 
Yaani Nyie Pogba-Fanboys Mutasubiri Sana Kwa Boya Wenu Huyo!!

View attachment 427153

In Case of Touches ↑↑ He is Far away From Hendo

View attachment 427156

Who the hell is him??? ↑↑ Even Ngolo Kante is much better than him!!!

View attachment 427157

What about assist ↑↑ ?? He has 0.00000% of assist wich is equal to £85 million From Juventas!
While Coutinho has 4 assists which is equal to £8.5 million From Intermilan
Uendelee kutukana hivi hivi hata mwezi April mwakani.Nitakukumbusha uje kuendelea kumtukana.
 
Carrick hajawahi kumwangusha mou kila anapopata nafasi ya kucheza, natamani aanze game v swansea badala ya shwain kama ndio wazo mou.
 
Carrick hajawahi kumwangusha mou kila anapopata nafasi ya kucheza, natamani aanze game v swansea badala ya shwain kama ndio wazo mou.

Shwein hawezi kuwa akianza moja kwa moja,

Mzee ni mtu wa kwenda kutuliza mzuka kama viuongo au timu nzima inaenda ndivyo sivyo. Ni mtu wa kuingia kipindi cha pili kutoa uzoefu wake pale timu inapokuwa inaongoza, kufungwa au kushambuliwa sana.

So sitegemei kuona akianza iwe mbele ya Pogba, Mata, Hererra au yeyote.
 
watu wanahesabu hadi per minute.

Acha kabisa dadangu,

Yaani kwasasa ulichonacho unakilinda kwa gharama yoyote kisije kukuponyoka..!! Huoni hata babu Wenger pamoja na ubahiri wake akilalamika kuwa Wachezaji wake Mastaa wanapaswa kuongezewa mishahara ili waendelee kudumu pale Gunners..!!!??

Anajua mziki wake, Alichokipata kwa Fabregas, Framin, Helb, Song na Nasri hataki kimrudie tena. Na vile mashabiki wake wanaubao wa miaka kumi na kitu ndo anazidi kuchanganikiwa.

Soka la leo bila pesa haliendi..!! Upenzi wa timu uliondokaga na kina, Roy Keen, Cantona, Avrin, Bergcamp, Patrick Viera Stive Gerad, Carragher na wengineo, leo ni pesa mbele...!!

Hivi umewahi kufikiri maishani mwako kuwa Wenger atatoa Paun 42 kununua kiungo mmoja tu.... Narudia, Kiungo siyo Mshambuliaji...!!!!
 
Acha kabisa dadangu,

Yaani kwasasa ulichonacho unakilinda kwa gharama yoyote kisije kukuponyoka..!! Huoni hata babu Wenger pamoja na ubahiri wake akilalamika kuwa Wachezaji wake Mastaa wanapaswa kuongezewa mishahara ili waendelee kudumu pale Gunners..!!!??

Anajua mziki wake, Alichokipata kwa Fabregas, Framin, Helb, Song na Nasri hataki kimrudie tena. Na vile mashabiki wake wanaubao wa miaka kumi na kitu ndo anazidi kuchanganikiwa.

Soka la leo bila pesa haliendi..!! Upenzi wa timu uliondokaga na kina, Roy Keen, Cantona, Avrin, Bergcamp, Patrick Viera Stive Gerad, Carragher na wengineo, leo ni pesa mbele...!!

Hivi umewahi kufikiri maishani mwako kuwa Wenger atatoa Paun 42 kununua kiungo mmoja tu.... Narudia, Kiungo siyo Mshambuliaji...!!!!
Kwa records za usajili wa Wenger siko vizuri ila najua jamaa ni bahili.
 
12e801d4b2ac10b6dbcffa2441f3a7ce.jpg
 
Yap

Nami nimewaona Shwein na Jones wakipasha hapo, Ukiangalia kwa ukaribu, Shwein ni Mwalimu mzuri sana kwa wenzie uwanjani, halafu ni mtu simple sana. Hana majivuni, kinyongo wala dharau.

Huyu jamaa akikutana na Pogba pale kati itakuwa poa sana japo kwa dakika chache. Ninamategemeo makubwa kwake.

GGMU GGMU GGMU
Kuhusu wasifu wa huyo mzee ingekua vizuri ungesema mjerumani ingetosha
 
Back
Top Bottom