everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
WanaMU wamenielewa kazi kwako ambaye si RedWapi
WanaMU wamenielewa kazi kwako ambaye si RedWapi
Kuna mechi ya burnley, fenerbahce na swansea, tukishinda hizi game confidence ya timu itarudi na combo sahihi ya midfield itakuwa imezoeana vya kutosha. Game itakayofuata ni washika manati wa london, watajuta kutufahamuWanakufa kweupee
That was baada ya match na City, na alikua ana apologize kwa Utd fans kuhusu 4-0 iliyopita..View attachment 424800
Jamaa inaelekea hatosahau hii results last week. Hapa ni katika mechi vs Man City masaa machache yaliyopita. Inaelekea anawakumbusha wachezaji wake juu ya kilichowatokea.
Good morning !!! Kaka mbona Leo daftari la wageni halijasiniwa kuna tatizo kwenye nyumba yetu mhhhhhhhh!! Wageni hamna???.... ubwabwa hamna E eeeh?........ kawaite waje waambie leo siyo msiba ni sherehe waje watupongeze basi,waambie wasisahu neno linasema cheka na wanaocheka,na lia na waliaoGood morning all manchester United fans and other things.
![]()
![]()
![]()
![]()
........... Mimi nimefurahi tu jinsi walivyoweka
kwamba tunakufa tena stooori yooooooteeeeee subirini jumatano jamaniii eeeeehhhh jumatano ishafika na Leo Alhamis au mnajifanya hamjui? ......_#fitinazasokaraha_

MorningGood morning all manchester United fans and other things.
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna mmoja alisema tutakuwa 'hammered' na man city kumbe kasahau yeye ndio alikuwa anakabiliwa na hammers na amekuwa 'hammered' !!!!Good morning !!! Kaka mbona Leo daftari la wageni halijasiniwa kuna tatizo kwenye nyumba yetu mhhhhhhhh!! Wageni hamna???.... ubwabwa hamna E eeeh?........ kawaite waje waambie leo siyo msiba ni sherehe waje watupongeze basi,waambie wasisahu neno linasema cheka na wanaocheka,na lia na waliao![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........... Mimi nimefurahi tu jinsi walivyoweka
kwamba tunakufa tena stooori yooooooteeeeee subirini jumatano jamaniii eeeeehhhh jumatano ishafika na Leo Alhamis au mnajifanya hamjui? ......_#fitinazasokaraha_
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna mmoja alisema tutakuwa 'hammered' na man city kumbe kasahau yeye ndio alikuwa anakabiliwa na hammers na amekuwa 'hammered' !!!!
soka safi sana!!!Burnley, wababe wa Liverpool
Ban yako inaisha lini?HUYU RASHORD NI NYOKO ANA KIU YA MAGOLI
Hao ndio nawataman kuliko timu yoyote ile pale eplKuna mechi ya burnley, fenerbahce na swansea, tukishinda hizi game confidence ya timu itarudi na combo sahihi ya midfield itakuwa imezoeana vya kutosha. Game itakayofuata ni washika manati wa london, watajuta kutufahamu
Tukicheka hauwaoni..........ila tukiwa na msiba hao.....na siyo kutufariji bali kutukejeli.Good morning !!! Kaka mbona Leo daftari la wageni halijasiniwa kuna tatizo kwenye nyumba yetu mhhhhhhhh!! Wageni hamna???.... ubwabwa hamna E eeeh?........ kawaite waje waambie leo siyo msiba ni sherehe waje watupongeze basi,waambie wasisahu neno linasema cheka na wanaocheka,na lia na waliao![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........... Mimi nimefurahi tu jinsi walivyoweka
kwamba tunakufa tena stooori yooooooteeeeee subirini jumatano jamaniii eeeeehhhh jumatano ishafika na Leo Alhamis au mnajifanya hamjui? ......_#fitinazasokaraha_
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
SAF walisema alikuwa anahonga marefa mara alikuwa anawatisha marefa lini walikubali? mwaka anaondoka alichukua kombe na bado wakasema timu mbovu imechukua ubingwa hawa inabidi tuwazoee tu hakuna namna ukubwa wa united unawaguza sana nimekumbuka mpaka ule msemo "ferge time "Mbona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe, post yako ilikua inamuhusu mou alafu we unaleta habari za S. A. F,
Ni wale makauzu wachache ndio utawaona ila pana wengine waungwana huja na kutoa pole za dhati wengi wao hata tukishinda wenyewe huponda tu mara tumebahatisha mara tumebebwa hawawi sawa hata siku moja.Tukicheka hauwaoni..........ila tukiwa na msiba hao.....na siyo kutufariji bali kutukejeli.
Tena unakuta nyundo yenyewe ina kutu na huku kwa kung'olea misumali kuna mapengo wacha mchezo.Kuna mmoja alisema tutakuwa 'hammered' na man city kumbe kasahau yeye ndio alikuwa anakabiliwa na hammers na amekuwa 'hammered' !!!!
Hii "Comment" Ninaiweka Hakiba For Future use


Bora uweke Hakiba na sio Akiba.![]()