kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,678
- 12,094
Nendeni mkirudi swansea anawangoja kwa hamu awatafune!...
Nendeni mkirudi swansea anawangoja kwa hamu awatafune!...
Unasema kua bola mzee fargie arudi eeenh![]()
Nendeni mkirudi swansea anawangoja kwa hamu awatafune!...
Present iko hii hapapresent manchester united mtetez wa kombe la fa vipi arsenal?
Usikonde clean shit ni sehemu ya history yetusame to arsenal hakuna mwaka asiotangulizwa pale juu nuks ishaanza kwa ludogolets
Present iko hii hapa![]()
Nendeni mkirudi swansea anawangoja kwa hamu awatafune!...
Jamaa unabwabwaaaja kama ushaaxukua ndoo vile... Ligi bado kijana...Yah kileleni si size yako patakupwelepweta
amesahau kuwa haijalishi umeanzaje........kinachoangaliwa umemalizaje. ..........Jamaa unabwabwaaaja kama ushaaxukua ndoo vile... Ligi bado kijana...
Kila la kheri vijana wafanye kweli.
Carrick hajasafiri na timu, ana majeraha kidogo.Duuu carrick ndo game zake hizi afu why mkhitaryan haanzi?
Kumbuka Bastian hajajumuishwa kwenye kikosi cha Europa.binadamu hatujakamilika jose:jana nilimpigia shwanstiger kwamba ufike mazoezini kwa maandalizi zaidi dunia inamambo