Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

EFL Cup quarter final
Posted at 17:17
Arsenal v Southampton

Share this post on
EFL Cup quarter final
Posted at 17:17
Hull v Newcastle

Share this post on
EFL Cup quarter final
Posted at 17:16
Manchester United v West Ham



Share this post on
EFL Cup quarter final
Posted at 17:16
Liverpool v Leeds

Share this post on
The draw

Chelsea Killers watawaletea kichapo.
Man u
 
Unapopita kwenye magumu jikumbushe magumu yaliyopita ulivukaje,Hii ndiyo Manchester United hakunaga kama sisi.....

Tottenham Hotspurs 4-1 Manchester United 1995/96 (MAN U won
the league)


Southampton 6-3 Manchester United 1996/97 (MAN U won the
league)


Newcastle United 5-0 Manchester United 1996/97 (MAN U won the
league)


Chelsea 5-0 Manchester United 1999/00 (MAN U won the league)

Manchester United 1-4 Liverpool 2008/09 (MAN U won the league)

Manchester United 1-6 Manchester City 2011/12 (MAN U won the
league)


Chelsea 4-0 Manchester United
2016/17 (MAN U will win the league)


We are the United.... Glory Glory Manchester United!!!



na mafanikio ya manchester united yaliibuka mwaka 92 baada ya kumfunga crystal palace fainali ya FA na msimu huu manchester united ni bingwa mtetez katoka kumfunga cristal palace
 
Hii definition unaijua wewe tu huwezi ukaniambia mchezaji ana miaka 27 ni kinda kisa anawekwa benchi.Na mwanzo nilikwambia Mourinho ni muwazi kabisa kwenye timu yake hawa wachezaji unaowaona ndio watakaocheza msimu mzima usitegemee kama kuna mchezaji chipukizi utamuona ndio maana aliwauza kina Januzaj,McNair akawapeleka kwa mkopo kina Pereira,CBJ,Valera,Wilson kwa mkopo

Pep Guardiola hajashinda mechi ya 6 mfululizo sasa sijui hizo mechi nyingine aliwachezesha hao makinda unaowasema.Mwisho kabisa nasikitika sana hatujapangwa na Arsenal

Guardiola hakuwa na mpango na hii mechi. Tangu jana alikuwa anasema ni mechi ya kawaida. Kutoshinda mechi 6 mfululizo ni juu yake. Usijali tutapangiwa na nyinyi muda si mrefu najua utaongea hivi hivi kabla ya mechi lakini baada ya Arsenal kuwapiga ubaya utakuja na visingizio vya kutopenda mchezaji Fulani kucheza badala ya mchezaji Fulani. Ndivyo wapenzi wa Man Utd mlivyo siku hizi.
 
Hii definition unaijua wewe tu huwezi ukaniambia mchezaji ana miaka 27 ni kinda kisa anawekwa benchi.Na mwanzo nilikwambia Mourinho ni muwazi kabisa kwenye timu yake hawa wachezaji unaowaona ndio watakaocheza msimu mzima usitegemee kama kuna mchezaji chipukizi utamuona ndio maana aliwauza kina Januzaj,McNair akawapeleka kwa mkopo kina Pereira,CBJ,Valera,Wilson kwa mkopo

Pep Guardiola hajashinda mechi ya 6 mfululizo sasa sijui hizo mechi nyingine aliwachezesha hao makinda unaowasema.Mwisho kabisa nasikitika sana hatujapangwa na Arsenal


hawakosag maneno hao company ni kinda aguero ni kinda
 
Scholes anakwambia haamini kama fellain ana kiwango cha kumuweka bench michael carick tumebak na hii injini ya sir alex


nakumbuka enzi za sir alex nahis mashabik wengi wa united hatukuwah kuona umuhimu wa huyu carick hii ni kutokana na uwepo wa wachapa kaz wengi kama mchezaji wa kawida kumbe wap kamfanya had rojo kuwa fiti smalling ana wenge sana
 
Guardiola hakuwa na mpango na hii mechi. Tangu jana alikuwa anasema ni mechi ya kawaida. Kutoshinda mechi 6 mfululizo ni juu yake. Usijali tutapangiwa na nyinyi muda si mrefu najua utaongea hivi hivi kabla ya mechi lakini baada ya Arsenal kuwapiga ubaya utakuja na visingizio vya kutopenda mchezaji Fulani kucheza badala ya mchezaji Fulani. Ndivyo wapenzi wa Man Utd mlivyo siku hizi.



hata mourinho
 
Chelsea kuna msemo mmoja unasema kua ukiona mwenzio ananyolewa nywele wewe tia maji
Walitukamia balaa na wakatake advantage ya sie game kutukataa wakatugonga 4 leo sasa chupuchupu zile 4 zirudi
 
4Mourinho.png


Jamaa inaelekea hatosahau hii results last week. Hapa ni katika mechi vs Man City masaa machache yaliyopita. Inaelekea anawakumbusha wachezaji wake juu ya kilichowatokea.
 
Back
Top Bottom