eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Man u mlikua vizuri leo hongreni sana
Naona unajifarijishaMan u mlikua vizuri leo hongreni sana
Ukichukulia Kinda literally sawa. Nachukulia kimpira hapa. Wachezaji wasio na EPL experience ambao hawachezi mara kwa mara. Iwobi at this time sio kinda, Mnigeria (Ihenacho) wa Citey sio kinda, Rashford sio Kinda wote hawa wapo either first eleven or on the bench week in week out. Ndio maana wanasema timu nyingine zinatumia EFL/Carling cup as introduction of youth players and un-experienced players. Mourinho alikuwa desperate kupata ushindi leo hasa vs Guardiola (aliyewapa nafasi makinda kama 2 hivi. Hongera kwa ushindi. Wapi Champaign? Case closed.Kinda tunaangalia umri,wachezaji kama Iwobi,Kimmich,Weigl,Renato Sanchez,Rashford,Ihenacho,Januzaj ndio wanaitwa makinda.Huwezi kusema mchezaji ana miaka 28 kisa anawekwa benchi ukamuita kinda
kwenye yanga hapo umezngua man utd red army simba red armyman utd ushindi,Yanga ushindi daa gud day leo
Tangu jumapili sisomi, siangalii wala kusikiliza habari za michezo...
Leo nitaanza kuperuzi tena kuanzia kule MU Website.
ndo mwendo mpaka kiboSafi sana Man U lets go ..... mdogo mdogo tutafika.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii definition unaijua wewe tu huwezi ukaniambia mchezaji ana miaka 27 ni kinda kisa anawekwa benchi.Na mwanzo nilikwambia Mourinho ni muwazi kabisa kwenye timu yake hawa wachezaji unaowaona ndio watakaocheza msimu mzima usitegemee kama kuna mchezaji chipukizi utamuona ndio maana aliwauza kina Januzaj,McNair akawapeleka kwa mkopo kina Pereira,CBJ,Valera,Wilson kwa mkopoUkichukulia Kinda literally sawa. Nachukulia kimpira hapa. Wachezaji wasio na EPL experience ambao hawachezi mara kwa mara. Iwobi at this time sio kinda, Mnigeria (Ihenacho) wa Citey sio kinda, Rashford sio Kinda wote hawa wapo either first eleven or on the bench week in week out. Ndio maana wanasema timu nyingine zinatumia EFL/Carling cup as introduction of youth players and un-experienced players. Mourinho alikuwa desperate kupata ushindi leo hasa vs Guardiola (aliyewapa nafasi makinda kama 2 hivi. Hongera kwa ushindi. Wapi Champaign? Case closed.
Ahsante sanaMan u mlikua vizuri leo hongreni sana
kwenye yanga hapo umezngua man utd red army simba red army
man u Na Simba