Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu Bhana! Naona Mourinho Kaomba Poo Kiulaini...

MOU vs CONTE.jpg
 
Mourihno alitakiwa ampange carrick leo yule ni namba 6 in nature ndo maana kuna kipindi hata babu alikua anamtumia kama beki 4/5

Timu haijabalance leo kati ya viungo/beki na forward,beki imepwaya sana leo

Herera ni mzuri ila katika marking hayuko vizuri sana na pasi zake nyingi ni Square pasi/pasi za pembeni tofauti na carrick ana uwezo wa kulazimisha pasi za kwenda mbele

Owen hagrevas alisema ni zamu ya pirlo wa manchester/carrick kucheza na Pogba

Ukiangalia leo Chelsea amechezesha viungo wawili wakabaji wa asili kabisa/Kante na Matic

Pogba kapata kazi sana kwani ilibd afuate mipira nyuma na kuipeleka mbele.

Inabid tusajili namba mbili wa asili Valencia anazidiwa japo anajitaidi

Bado mapema tumpe muda kocha
Kweli kabisa ila nadhan kuna beki wa monaco mou anamtaka
 
mwehu mama yako baada ya mechi ya manchester united kafanya nini?

Yaani Ninakushangaa Sana!! Unajifanya Mchambuzi Wa Soka Ukaita Watu Mashabiki Maandazi!!! Halafu Unaishia Matusi!!
Sasa Mchambuzi Wa Soka Anatukana Watu?? Au ndiyo Uchambuzi Wenu huu Munaojisifia nyie Manne United??
 
Spend the money wisely,simply glory time is over mmebaki jina ukiangalia hakuna jipya nilisema na narudia tena Mourinho atatupa furaha sana msimu kama alivyo tufurahisha msimu uliopita.
e6cec32864223545561e35d3d95993d9.jpg

Nawakumbusheni tu jana mmegongeka 4-0 pale darajani na mlizibwa matundu yote ya kutolea hewa next tym kuweni na nidhamu alafu kelele za kua eti ni mechi ya 9 hatutaki maana mliongea sana game 3 za mwanzo......Man 4ngo.
Donald unaua hahahaha
 
Tatizo lako jirani ni kua hautaki kukubali kua Fergie kaondoka na identity yenu bado unaamini wewe ni giant sana bado unajifariji kua kukosa kwako UCL ni bahati mbaya tu kumbe ni uhalisia kua haustahili kuwepo na njia unayoitumia kujipanga ndio mbovu zaidi after babu mmeajiri waalimu watatu ambao hakuna jipya so far ni wale wale na tumeanza kufanana nna uhakika j5 utapata matokeo chanya utakuja hapa kwa vurugu sana kua mmerudi mnasahau kua mna kansa.
donald we ni nyoko duuuh hahha kansa
 
Hahahaaa tupo tofauti chief, wengine raha ya mpira ni kuona vijana wanacheza hata ukikaa miaka 10+ bila ubingwa kama spurs na soton, lakini kwangu raha ya mpira ni ushindi na makombe labda sababu nilianza kuangalia mpira kipindi tupo on fire,

Van gaal + fellain ni vitu pekee ambazo sivihitaji utd kwa sasa, nitakacho mkumbuka van gaal hata akiondoka sasa ni kuwa dominate livapuli basii.

Mkuu herrera naomba maoni yako baada ya mechi tisa unamwelezeaje special one.
 
Mourinho is finished, nearly relegated Chelsea, spent 150m& is playing 10 men behind the ball to try and grind out draws in October
 
Back
Top Bottom