Hongera kwa ushindi, kiroho safi lakin.Poleni sn wandungu.....
Timu yenu bado inahitaji watu kadhaa hasa wenye uzoefu mkubwa Wa kuweza kuwaongoza wenzake uwanjani.
Carrick, Rooney hawa bado wanahitajika sn. Lkn wakiwaacha hawa hawa vikaragosi basi inahitajika nguvu ya ziada sn......
Ni hayo tu kwa Leo wadau wangu Wa nguvu.
Cc: Nzi everlenk RRONDO herrera and my cute b and all ManU fans......
One love wakuu...
In Jose Mourinho we still
