Zimewagekia eeeee mmepigwa ngapi vilemidfilder carick na pogba yaani full kuchafua watoto tunaenda kuwapga 4
Lol inaelekea jamaa alibet banda Zima la kuku na zizi la ng'ombe kuwa Arsenal, Man city na Manchester united wote watafungwa.

Shikamoo Man Utd
Arsenal Special Thread
Game Theory, Nov 22, 2006 ... 2522 2523 2524
Manchester United (Red Devils) Special Thread
Idimi, Nov 7, 2007 ... 2638 2639 2640
Kuna watu watafanya kama hawajaelewa
Thread ya Arsenal ilianzishwa 2006 , mpaka sasa ina page 2524
Thread ya Man Utd ilianzishwa 2007 , mpaka sasa ina page 2640
Kwa mara nyingine nasema shikamoo Man Utd
[HASHTAG]#BilaManUtdJamiiforumsHainogi[/HASHTAG]

Pole kiongozi, lakini naamini Mouronho atakuangusha mara nyingi sana...Leo ni moja ya siku chache ambazo wachezaji wa Man Utd wameniangusha.

DuhShikamoo Man Utd
Arsenal Special Thread
Game Theory, Nov 22, 2006 ... 2522 2523 2524
Manchester United (Red Devils) Special Thread
Idimi, Nov 7, 2007 ... 2638 2639 2640
Kuna watu watafanya kama hawajaelewa
Thread ya Arsenal ilianzishwa 2006 , mpaka sasa ina page 2524
Thread ya Man Utd ilianzishwa 2007 , mpaka sasa ina page 2640
Kwa mara nyingine nasema shikamoo Man Utd
[HASHTAG]#BilaManUtdJamiiforumsHainogi[/HASHTAG]
Kwanini mmekosesha kijana wa watu hela, atazidi kuwachukieni lol
RayJr {Unamkumbuka?] atakuwa na furaha sana leo
duh umenikumbusha huyo mtu tehteh leo Mama Baggio sijui vipi? au sio United? sister etu.Kwanini mmekosesha kijana wa watu hela, atazidi kuwachukieni lol
RayJr {Unamkumbuka?] atakuwa na furaha sana leo
ooops afadhali umefika kutoa pole!yule ni Yuda wala hawezi umia
