Mourihno alitakiwa ampange carrick leo yule ni namba 6 in nature ndo maana kuna kipindi hata babu alikua anamtumia kama beki 4/5
Timu haijabalance leo kati ya viungo/beki na forward,beki imepwaya sana leo
Herera ni mzuri ila katika marking hayuko vizuri sana na pasi zake nyingi ni Square pasi/pasi za pembeni tofauti na carrick ana uwezo wa kulazimisha pasi za kwenda mbele
Owen hagrevas alisema ni zamu ya pirlo wa manchester/carrick kucheza na Pogba
Ukiangalia leo Chelsea amechezesha viungo wawili wakabaji wa asili kabisa/Kante na Matic
Pogba kapata kazi sana kwani ilibd afuate mipira nyuma na kuipeleka mbele.
Inabid tusajili namba mbili wa asili Valencia anazidiwa japo anajitaidi
Bado mapema tumpe muda kocha