Sawa ndugu tuna kelele na vile vile tuna kilele cha mafanikio so hiki kipindi cha mpito naamini tutarudi penye u mwamba wetu kama timu inafanya vizuri tukishangilia kumbe inageuka kelele? tupo pamoja kwema lakini huko?Mnakelele mno mungu anawaona ndio maana mnapigwa kizembe tu hivyo!!!! Kocha wenu nae maneno mengiiiiiii, tena mngepigwa hata sita hivi tuwaite man six
It's appalling to see even 'dead meat' trying hard to show their presence...the kinda people who have no guts to even show their presences in their threads when losing...
[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
It's appalling to see even 'dead meat' trying hard to show their presence...the kinda people who have no guts to even show their presences in their threads when losing...
[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
Ukitaka kujua wanajamiiforums wanavyopenda na kufuatilia mpira ni siku Man Utd wakiwa wanacheza na haswa wakiwa wanafungwa [HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
Mimi naenda na matukio...jukwaa lenye tukio utanikuta huko.Naona leo umeamua kuweka kambi hapa, Jukwaa la Celebrities leo watakusamehe
Chereko na Nderemo leo

Halafu hata siku ya kutoka hawajaandika waache wakae kwetu kuzuri ndo maana hung'ang'ania kama kwao vile.Naona leo mmeahamia kwenye uzi wetu
Conte: "I was listening to the [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] fans always supporting their team. I was asking my fans to clap for my players."
Ila refa asingewapa kadi nyekundu wachezaji wawili wa Man U (Pogba na Ibra) gemu hii Chelsea wasingeshinda aisee. Ha ha haI hate rashford as a winger. He's a fecking
striker not a winger.
Also where's Mata and miki our 2 most
creative players and they aren't even playing
Ila refa asingewapa kadi nyekundu wachezaji wawili wa Man U (Pogba na Ibra) gemu hii Chelsea wasingeshinda aisee. Ha ha ha
Ah wapi iliharibika jana kwa Arsenal.... hongereni Man U kwa kutoweka Bus leo, Soon mtasema [HASHTAG]#WewantMoyesBack[/HASHTAG]!
The season isn't over bruh! Chelsea could still flop...it's just 9 games out of 38...[HASHTAG]#justsaying[/HASHTAG]
Kiukweli kabisa leo una furaha kuliko Arsenal wakiifunga Spurs
Hakuna tulipokosea tulistahiliMlikosea wapi blaza..? 4 fuckin 0