Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Ferdinand si atoke?nini kuchechemea uwanjani au ndo tegemeo pekee la MANURE?:bored::bored:
 
Naona Rio wameshamtekenyua ... ...... toa nje galasha hilo haliwezi kukimbia chacha, khe khe khe kheeeeeeeeeeeee vunjaneni miguu chacha chichi machubiri majeruhi tu hapa. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Naona Rio wameshamtekenyua ... ...... toa nje galasha hilo haliwezi kukimbia chacha, khe khe khe kheeeeeeeeeeeee vunjaneni miguu chacha chichi machubiri majeruhi tu hapa. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wakimvunja Rooney na Park watakuwa wametusaidia sana.....:bored::bored:
 
Leo naona wameambiwa wawaumize wachezaji wetu....ila inabidi kwenda nao pole pole tu hawa.....
 
:angry: na wanune sana,wao kila siku wanacheka tu....sijui lini wanacheza na Wolves jamani??

halafu weweee.. nikikukamata!

angalia kandanda hilo sio wale watoto wenu ambao wana allergy na makombe
 
Lalalalalalaaaaaa chicharitoooooo nini Tena offside...... C matumbo moto
 
Hawa Chelsea nao wanaanza kuwa kama Arsenal......:bored::bored:
 
Back
Top Bottom