Huyu Ferdinand si atoke?nini kuchechemea uwanjani au ndo tegemeo pekee la MANURE?:bored::bored:
Naona Rio wameshamtekenyua ... ...... toa nje galasha hilo haliwezi kukimbia chacha, khe khe khe kheeeeeeeeeeeee vunjaneni miguu chacha chichi machubiri majeruhi tu hapa. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
miss u michelle
Wakimvunja Rooney na Park watakuwa wametusaidia sana.....:bored::bored:
:angry: na wanune sana,wao kila siku wanacheka tu....sijui lini wanacheza na Wolves jamani??
Kwa nini hawachezi vizuri ??