Tunajua jinsi ya kupunguza pengo kati yetu na timu za juu
Tarehe 19/11 kuna points za bure tutachukuwa
Hii perfomance ya De Gea leo ni average, kuokoa shots mbili kwake ni day off! Herrera is a beast, ila inabidi uangalie mpira kwa makini otherwise huwezi kumuona.I thought MOTM angepewa De Gea!!!
Timu mbovu inakuja kwako inaondoka na point? Anyway you are right sisi wabovu maanake tukiwa fit huwa tunajichukulia points tatu hapo na tatu kwetu. 6pts guarantee.Pamoja na kusajili hao akina pogba ibrahmovic kwa mbwembwe bado timu mbovu.cjui aje nani sasa.ha haa
siunaona anahesabia point ndugu yetu point 1 moja kakwambia tehteh!Nov 19 Mourinho ataanza kufungasha virago.
Hata Fabregas kule darajani huwa anawekwa benchiHiviii kuna mchezaje aliyecheza quality ya Mata hapo??? kwa nini hamtumii lakini...
Hii perfomance ya De Gea leo ni average, kuokoa shots mbili kwake ni day off! Herrera is a beast, ila inabidi uangalie mpira kwa makini otherwise huwezi kumuona.
kusema kweli ibra anatakiwa kutafutiwa namna nyingine ya kucheza game kama hizi,mipira yote anayopelekewa inapotea kirahisi sana,
belo ni kweli kabisa. hii bei ya pogba inatupatia tabu sana utd,liverpool wanacheza kuhakikisha hagusi mpira akiwa comfortable kabisa. hiyo free role angepewa mata walau dakika 15 za mwisho kuliko hata rooney.Man of the Match:Ander Herrera
Flop of the Match😛aul Pogba
siunaona anahesabia point ndugu yetu point 1 moja kakwambia tehteh!
Kwenye thread yenu mlikuwa mnaapa kabisa "kuwa kwa moto huu wa liverpool utd hachomoki"everlenk DonDonald na Nzi na Belo leo wanashangilia Draw! (mmeshinda) mtaitizama Game kila saa hongereni.
Tackles+interceptions = 18! Sijui kama kuna mchezaji kafanya hivi hadi sasa kwenye ligi. Herrera anapaswa kuwa namba 6 wa kudumu.Ander Herrera vs Liverpool:
Passes [40/53]
Take-ons [5/5]
Tackles [7]
Aerial duels [4/4]
Ball recoveries [10]
Interceptions [11]
Blocks [1]
everlenk DonDonald na Nzi na Belo leo wanashangilia Draw! (mmeshinda) mtaitizama Game kila saa hongereni.
Mimi sishangiliii ila nawahurumia tu jinsi mlivyoingia na matokeo uwanjani,Asante ,ila umesikitika sana bana acha hizo relax usije mnyima mwenzangu bure utamu wake..

Lini Zlatan alichemka ?Dogo aliwaficha kina Mane. Deservedly. Kwa Flop (Man Utd) nadhani itabidi umwengeze Zlatani pia. Cha ajabu sisikii Zlatani akishambuliwa na wapenzi wenu kama wanavyofanya kwa Rooney. Besides magoli aliyofunga mwanzoni mwanzoni Zlatani amepotea kama mechi 4 hivi.