Sheikh rudisha chenji ya Utabiri khe knee kheeeeee yaani mabig game sometime yanaboaaaa!!!!...... thank God Leo imepita heri nusu Shari kuliko Shari Kamili....
We jamaa yani una jezi ya liver ndani halafu kwa nje una ya Man UNimepata nilichotaka. Draw sio mbaya kwetu. Ila mngefungwa ingekuwa vizuri kiaina kumnyamazisha Mourinho. Hawa Liverpool bado wapo kama walivyokuwa miaka ya nyuma, kuna mechi wanacheza vizuri, halafu mechi zifuatazo wanakuwa kama Abajalo.
Msingeweza kutufunga!..Tatizo Hawa Reds wenzangu waliingia uwanjani wana matokeo kama wale Reds wenzangu wa Tanzania![]()
![]()
![]()
![]()
tungewapiga mngeng'oa JF......... Neville kama Namuona na utabiri wake
![]()
![]()
![]()
We jamaa yani una jezi ya liver ndani halafu kwa nje una ya Man U
Man of the Match:Ander Herrera
Flop of the Match😛aul Pogba
Hahahhaha hao hamna kitu tungekaza kidogo tu tungechafua Anfield,dahh !! Acha tu siku hizi ile raha hamna ila ngoja tuyajenge tutakam bak....Lol! Goli lilikuwepo banaa mwenyewe unajua hivyo na ndiyo sababu hukutulia ulipokuwa umekaa ukijua mnapachikwa kamoja kabla ya dakika 90 kuexpire. Mshukuru Mungu mmeponea chupu chupu, kwenu huu ni ushindi wa aina yake. Bado MANU hii si ile niliyoipenda kuiangalia miaka ya nyuma mpaka unaona raha.
Mbona nyie hamjafunga? ...Msingeweza kutufunga!..
Herrera yuko vizuri. Kaharibu mara moja nafikiri dakika ya 85!Ander Herrera vs Liverpool:
Passes [40/53]
Take-ons [5/5]
Tackles [7]
Aerial duels [4/4]
Ball recoveries [10]
Interceptions [11]
Blocks [1]
Kwa Mfumo wa Liverpool Leo man utd they won kwa tactical game.....huitaj kukimbia wakat opponents wako wana watu weng wa kukimbia....
Man utd kalazmisha mipira ya juu na Liverpool akaingia mtegon
Tunajua jinsi ya kupunguza pengo kati yetu na timu za juuHahaha nina jezi ya Arsenal, nilitaka iwe draw ili pawe na separation kileleni yaani Citey na Arsenal waongoze ingawa ligi bado ni mbichi.
Special one.No mane,kutinyo,filiminyo,staraji level zao aseno kapanga wazee wakina ashley young na felain
no martial,mata,mik
genious mou
Hahahhaha hao hamna kitu tungekaza kidogo tu tungechafua Anfield,dahh !! Acha tu siku hizi ile raha hamna ila ngoja tuyajenge tutakam bak....
liver bado sana kwa man u kapangiwa timu ya hovyo kashindwa kufunga hata goli la off side