Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fellaini kaanza?!! Sina amani.

6656050233c570dfedcdbe9eecaafdb7.jpg
kikosi cha Liver ni cha kawaida sana.
 
Anthony Martial and Morgan Schneiderlin miss tonight's game after suffering injuries in training on Saturday. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#LIVMUN[/HASHTAG]
 
The way Liverpool play now its big risk to start Fellaini
 
Kikosi cha leo naona chenga game ambazo mata hajaanza ni tatizo ngoja tuone kocha kaona nini

No martial no mata eeeh sijui ngoja tuone
Vikongwe ni wabovu sana kwa mipira ya juu, nadhani ndio lengo la young kuanza kwa jili ya kuingiza cross kwa zlatan, nina imani jogoo anakufa, lets keep on believing guys
 
Fellaini kaanza?!! Sina amani.

Nimesikitika sana kwa Starting Eleven ya leo,

Mechi hii ilitakiwa tujaze viungo pale kati, Badala ya Fella ilitakiwa aanze Carrick. Badala ya Young angeanza Mata... angalau tungekuwa na viungo wanne.

Liver anatabia ya kujaza viungo wengi pale kati tena viungo haswa, siyo Mawinga..!! Kwa walioangalia mechi ya Man City watakubaliana nami. Kwa mechi hii Liver watatusumbua sana ingawaje hawawezi kutufunga. Watawin positions vipindi vyote watatutoa jasho ingawaje matanga lazima yalale kwao..!!

Naenda kuangalia nikiwa angalau najua kitakachotokea, Mou kaniangusha leo
 
Nimesikitika sana kwa Starting Eleven ya leo,

Mechi hii ilitakiwa tujaze viungo pale kati, Badala ya Fella ilitakiwa aanze Carrick. Badala ya Young angeanza Mata... angalau tungekuwa na viungo wanne.

Liver anatabia ya kujaza viungo wengi pale kati tena viungo haswa, siyo Mawinga..!! Kwa walioangalia mechi ya Man City watakubaliana nami. Kwa mechi hii Liver watatusumbua sana ingawaje hawawezi kutufunga. Watawin positions vipindi vyote watatutoa jasho ingawaje matanga lazima yalale kwao..!!

Naenda kuangalia nikiwa angalau najua kitakachotokea, Mou kaniangusha leo

Tatizo la Fellaini sio mwepesi na ni rahisi kupata kadi,Carrick was the best option the way licha ya kuwa na umri mkubwa team itakavyocheza leo kukosekana kwa Mata sio pengo sana
 
Najua mme miss kushinda goli zaidi ya moja sema inauzunisha sana kwa beki zipi pale manure mumtulize money? Maana coutinho kazi yake mnaijua sasa sielewi
Huyo..unayemuita..money...(MANE )...hivi...ni...mara..yake....yakwanza...kucheza..against..Man.u?
Amescore...mara...ngapi....na..beki..zetu..mbovu...?
 
Back
Top Bottom