UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
McDonaldJr usiniambie hujui kitakacho mkuta man UNa nyinyi pia ni mashabiki wa Man Utd duh..?game ya Man Utd na Liverpool tangu na tangu ndio game yenye msisimko kwenu simply Utd na Liver ni Arch Rivals regardless nani yuko form najua mnadhani wapinzani wenu na Man Shit kwa kua mmedandia Utd labda ila waulizeni wenzenu umu ndani wanaoijua timu yenu ipi game pale EPL ina hekaheka kwenu kama sio na Liverpool yaani wendawazimu wa soka wenyewe wako wamevurugwa uko UK wewe kibanda umiza unajidanganya eti ni kawaida FYI leo Jose ana tension kuliko siku ya Man Shit like wise Kloop hii ndio game Rooney akifunga anaweza kufungua mvinyo mbele ya Jose na asifanywe kitu acheni kutuongopea muwe mnauliza.

