Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cant wait
55fb3e0be8750c29cd0c5d2a3f89fe6b.jpg
 
PRONDO usichoke kaka relax emb ifanye hiyo past participle iwe future participle kwa kumpiga liver leo na arsenal, i suwea nahamia man you na ntapiga picha na jersey original ya man u
Man U tumejaa mzee, tafuta timu ingine
 
mpaka sasa liverpool wameanza kuleta ukakasi kuwa wana wasiwasi na refa MR TAYLOR kuwa anaweza asifanye maamuzi sahihi
 
rekodi ya refa Tyrol kwa liverpool ni mbovu huku akiwa amewapa kadi nyingi za njano kuliko maadui wao united, naona liver wameanza visingizio mapemaa kabla ya mechi
 
STRAIKA:ZLATAN IBRAHIMOVIC Superstaa zlatani ameanza maisha yake vizuri kwenye ligi ya england.ameshafunga magoli 4 tayari leo atakuwa ni mmoja wa washambuliaji atakayefanya maajabu na kuwapa homa mabeki wa liverpool.hata ivyo liver nao wanawaza jinsi ya kvmzibiti straika huyo
 
Back
Top Bottom