UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Siumwi kaka mi ni mzima mwenye afya tele kaka ubongo wangu hauna itilafu yeyoteMbona unajitukana?
Siumwi kaka mi ni mzima mwenye afya tele kaka ubongo wangu hauna itilafu yeyoteMbona unajitukana?



ameweka formation gani kwani?Mourinho angetumia 4-4-2
Siku hizi mnapigania nafasi ya 10Siumwi kaka mi ni mzima mwenye afya tele kaka ubongo wangu hauna itilafu yeyote


Tatizo liverpool nao wamekuwa wabishi, bado wanajiona wao ni big team mpaka leoWaingereza wajinga kweli,yani hii mechi wameifanya kuwa kubwa wakati sisi tunawaona Liver ni kama Westham au Stoke![]()



kabisa mkuuWaingereza wajinga kweli,yani hii mechi wameifanya kuwa kubwa wakati sisi tunawaona Liver ni kama Westham au Stoke![]()
ha ha ha wanataka ukubwa wakati waliupotezaTatizo liverpool nao wamekuwa wabishi, bado wanajiona wao ni big team mpaka leo![]()
Tatizo liverpool nao wamekuwa wabishi, bado wanajiona wao ni big team mpaka leo![]()



Man U tumejaa mzee, tafuta timu inginePRONDO usichoke kaka relax emb ifanye hiyo past participle iwe future participle kwa kumpiga liver leo na arsenal, i suwea nahamia man you na ntapiga picha na jersey original ya man u


Siwezi kuumwa akili na sitaumwa akiliMan U tumejaa mzee, tafuta timu ingine![]()
Watu wa Arsenal bhana kwa kumuombea njaa mbabe waoSiwezi kuumwa akili na sitaumwa akili



Hahaha real mkuu, liva levo yake ni westham, c.palace na swanseaWaingereza wajinga kweli,yani hii mechi wameifanya kuwa kubwa wakati sisi tunawaona Liver ni kama Westham au Stoke![]()