Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

KIUNGO WA KATI😛AUL POPBA
Gumzo kubwa leo ni kuhusu mfalansa pogba,mashabiki wanataka kitu kikubwa kutoka kwake katika mechi ya leo licha ya kutokuonyesha kiwango chake lakini katika timu zote mbili hakuna wakumuweka benchi
 
the war against JOE GOMEZ and ANDER HERRERA ,sifa kuu ya ander herrera huwa mpira haupotei mguuni pindi anapoupata na huwa hafanyi makosa wakati upande wa pili joe gomez ni mzito na mwepesi kupoteza mipira
 
Screenshot_2016-10-17-13-25-14.png
 
Kibonde moyes kawabutua
Kibonde van gaal kawabutua
The serious one atawabutua tu
I BELIEVE IN POGBAAAAAAAA
 
Waingereza wajinga kweli,yani hii mechi wameifanya kuwa kubwa wakati sisi tunawaona Liver ni kama Westham au Stoke

Tatizo liverpool nao wamekuwa wabishi, bado wanajiona wao ni big team mpaka leo

Na nyinyi pia ni mashabiki wa Man Utd duh..?game ya Man Utd na Liverpool tangu na tangu ndio game yenye msisimko kwenu simply Utd na Liver ni Arch Rivals regardless nani yuko form najua mnadhani wapinzani wenu na Man Shit kwa kua mmedandia Utd labda ila waulizeni wenzenu umu ndani wanaoijua timu yenu ipi game pale EPL ina hekaheka kwenu kama sio na Liverpool yaani wendawazimu wa soka wenyewe wako wamevurugwa uko UK wewe kibanda umiza unajidanganya eti ni kawaida FYI leo Jose ana tension kuliko siku ya Man Shit like wise Kloop hii ndio game Rooney akifunga anaweza kufungua mvinyo mbele ya Jose na asifanywe kitu acheni kutuongopea muwe mnauliza.
 
Back
Top Bottom