Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo Martial ni takataka kabisa hatakiwi kuchezea timu kubwa kama hii, ingewezekana tuwauzie kabisa Arsenane. HAPO BADALA YA LINGARD ANGEMUWEKA YOUNG, KOMBINATION YA YOUNG NA VALENCIA NI HATARI TUPU....
Sijui kwanini mou hampatii nafasi Young..
Yuko vizuri sana..Ibra angepiga vichwa vyakutosha kabisa..
 
Kwa bahati mbaya hujui unachokisema mkuu..

THAT'S WHAT I CAN SAY
Martial ni tatizo sana..anakaa na mpira sana na hajui ampigie nani? Yuko slaw sana. Wataalam wanasema ni machachari lakini sio hatari.
 
Sijui kwanini mou hampatii nafasi Young..
Yuko vizuri sana..Ibra angepiga vichwa vyakutosha kabisa..
Young anadondosha krosi za uhakika sana pale ndani. Mtu pekee anayeweza kumfanya Ibra apige hat trick ni Young
 
Martial ni tatizo sana..anakaa na mpira sana na hajui ampigie nani? Yuko slaw sana. Wataalam wanasema ni machachari lakini sio hatari.
Mh! [HASHTAG]#AlienAlert[/HASHTAG]
 
Hawa stoke tunawahemea sana, kuna utulivu kidogo tu unatakiwa ili tuwakalishe
 
Ibra is not a good striker kama jina lake lilivyo. A lot of misses and easily losing the ball.
 
man vs stok.jpg
 
Dah bahati hatuna tu kipindi cha kwanza tungekuwa na goli za kutosha
 
Pogba amekosa mawili mpaka sasa na zlatan kakosa ya wazi kabisa!!!

Mechi kama hizi ukipigwa moja imekula kwako...hope watabadilika
 
Back
Top Bottom