k.shuku kibosho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 278
- 269
Man fongo ya shindaa kwa taaaaabu sana!
ngapi ngapi na wafungaji?Asante Rooney...umetokea bench na mchango wako umetutoa kifua mbele..Cadabraaaa
Pheeew! Siyo mbaya, ili mradi points 3 kibindoni.
Bhita ni bhita muraaa!Pheeew! Siyo mbaya, ili mradi points 3 kibindoni.
we mwenyewe rubaman ni mzee wa Povu....unatizama mpira unalalamikaaa
we mwenyewe Expert
Back to the Topic wenyeji akina Everlenk wako wapi?
nipo sana tu siku hizi najifunza kunyamaza

kwann asianze shnedarling badala ya fellainPoint tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn
Timu haijacheza vizuri leo...tatizo ni ego za Mourinho...combo ya Fellaini na Pogba haifanyi kazi...kama lengo lilikuwa kumpumzisha Herrera basi Pogba angecheza na Carrick au Morgan...Fellaini anamnyima uhuru Pogba...it is that simple.Hahahahaha Wakereketwa na mliokunywa maji ya bendera mbona mnanipa shaka. Imani na Matumaini kama vile yanayeyuka mechi hadi mechi... Mourinho atawabadili katika ligi vs Stoke.
Tatizo ni egos za Mourinho...watu walisema LvG ana egos...lakini hamfikii Mourinho.Point tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn
Egos zake zitamuondoa kwny timu kama lvg alivoondoka kwa fedheha kwa man u ya sasa hkn kuoneana aibu watu wanataka vikombe tu thts all tuna mafundi kibao tunashindwa hata kucheza sexy futball damn!!Tatizo ni egos za Mourinho...watu walisema LvG ana egos...lakini hamfikii Mourinho.
Yah bora umeona na sio ww ni mashabiki na wachambuzi wengi lkn anyway ngj tumpe nafas mwalimukwann asianze shnedarling badala ya fellain
mchezaji hana kiwango halafu anapangwaPoint tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn