MARA MIA SHENELDRING ANGEANZA KULIKO BOYA FELLAINMou anazingua sana fellaini wa nn sasa wakati herera yupo
UUnatabiri kuwa Manchester United watakosa 5 chances dk 45 za mwishoni, ukimaanisha kipindi za 2?5 MISSING CHANCES DK 45 ZA MWISHONI
Naona na wewe ndani ya miaka 2 umefanya kazi nzuri, ume recruit vijana wa kutosha (Anti Man Utd naona wamekuwa wengi)

Haha sofa expert au sio haha unamatusi sana jamaaHuwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja
Kumbe unalitambua hilo lolHuwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja