Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huwa napenda kusoma comments za sofa experts katika threads za football, hawa watu wapo timu zote na duniani kote. Mpira ungechezwa kwa macho na midomo hakuna timu itakayoshuka daraja
we mwenyewe rubaman ni mzee wa Povu....unatizama mpira unalalamikaaa

we mwenyewe Expert

Back to the Topic wenyeji akina Everlenk wako wapi?
 
mshuke daraja tu man u, maana hamna msaada hapa duniani Hadi Timu Rorya Utd kutoka tarime inawatoa Ushuzi . Ama kweli morinyo kaishiwa
 
we mwenyewe rubaman ni mzee wa Povu....unatizama mpira unalalamikaaa

we mwenyewe Expert

Back to the Topic wenyeji akina Everlenk wako wapi?

Lol silalamiki kama wanavyolalamika wengine. Mtu anasema mchezaji hajui kutoa pasi, ki unachojifunza ukiwa age 5, 6,7
 
Kwa hiyo Manchester United hii ya Mourinho bila aerial balls wanapata shida kupata magoli?
 
Fellaini anatuzingua


Mi niko kinyume na wote wanaomlalamokia Fella, Jamaa yuko vizuri sana especially ktk hii mechi ya leo. Mipira anagawa vizuri, anakaba na kusambaza inavyostahili, Kwa performance ya leo Fela anamzidi hata Pogba anapoteza mipira kila mara.

Kazi iko hapa Mbele, na tukumbuke kitimu hiki Kimepaki mno Fusso, kiasi kuipenya mgome yao inakuwa shida... Sintoshangaa Fella akabeba Man of the Match mwisho wa Mchezo...

HATUTAKAGI UJINGA..!!!
 
Mi niko kinyume na wote wanaomlalamokia Fella, Jamaa yuko vizuri sana especially ktk hii mechi ya leo. Mipira anagawa vizuri, anakaba na kusambaza inavyostahili, Kwa performance ya leo Fela anamzidi hata Pogba anapoteza mipira kila mara.

Kazi iko hapa Mbele, na tukumbuke kitimu hiki Kimepaki mno Fusso, kiasi kuipenya mgome yao inakuwa shida... Sintoshangaa Fella akabeba Man of the Match mwisho wa Mchezo...

HATUTAKAGI UJINGA..!!!
Timu hii kama ulivyosema imepark bus, basi haina haja ya yeye kucheza sana chini kiasi cha kumfanya pogba arudi kuchukua mipira chini..
 
Manchester United not convincing win. On different day different team mngepigwa hii mechi. Just my observation. Mourinho labda hana mpango na Europa anataka kutolewa mapema a-focus katika ligi.
 
Back
Top Bottom