Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2962.jpg

A chipper looking Wayne Rooney on the Manchester United bench.
 
the start of day ni mzuri sana kwetu licha yakuwa tunamapungufu ila leo tumeweka viungo watatu tumeona matokeo yake
 
Huhitaji kuwa na PhD kuelewa kwamba Mourinho alikuwa akikosea setup ya timu...leo kapata jibu...Pogba na Mata siyo wachezaji wa kuwabana kwenye positions zao...waache wawe huru ndiyo utaona umuhimu wao...lakini bila kusahau kumweka Anders, Morgan au Carrick kwenye namba 6...

Leo [HASHTAG]#WakaangaSumu[/HASHTAG] wanachungulia tu.....hivi yule mzee wa khe khe khe khe Wacha na mdogo wake Wacha1 wapo wapi?
The people who make thoday's team tick are Herrera and Mata.

Bado Pogba hajafanya anything peculiar.

So far Rashford has been more important/valuable than him.

Watu ambao hawajawa effective sana ni Lingard na Ibrahimovic...at least Pogba can claim more credit over them.
 
The people who make thoday's team tick are Herrera and Mata.

Bado Pogba hajafanya anything peculiar.

So far Rashford has been more important/valuable than him.

Watu ambao hawajawa effective sana ni Lingard na Ibrahimovic...at least Pogba can claim more credit over them.
Wewe ndiyo mmoja wa [HASHTAG]#WakaangaSumu[/HASHTAG]...
Kama umechukia sana kasage chupa ule bro...
 
The people who make thoday's team tick are Herrera and Mata.

Bado Pogba hajafanya anything peculiar.

So far Rashford has been more important/valuable than him.

Watu ambao hawajawa effective sana ni Lingard na Ibrahimovic...at least Pogba can claim more credit over them.
Wewe ndiyo mmoja wa [HASHTAG]#WakaangaSumu[/HASHTAG]...
Kama umechukia sana kasage chupa ule bro...
 
Hahahahahahaha lol! khe kheeee kheeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeee...Hongereni Mkuu hii game imeshakwisha ila si ajabu kuna goli mbili nyingine au hata tatu kama UKUTA wa Leicester utazembea zaidi. Si kutegemea kabla ya half time muwe mnaongoza 4-0 nadhani wengi hatukutegemea kikapu cha magoli kiasi hiki.

Huhitaji kuwa na PhD kuelewa kwamba Mourinho alikuwa akikosea setup ya timu...leo kapata jibu...Pogba na Mata siyo wachezaji wa kuwabana kwenye positions zao...waache wawe huru ndiyo utaona umuhimu wao...lakini bila kusahau kumweka Anders, Morgan au Carrick kwenye namba 6...

Leo [HASHTAG]#WakaangaSumu[/HASHTAG] wanachungulia tu.....hivi yule mzee wa khe khe khe khe Wacha na mdogo wake Wacha1 wapo wapi?
 
Back
Top Bottom