Kweli aisee
Mic u kinyaama sister anguGlory Glory Glory Manchester united
Huhitaji kuwa na PhD kuelewa kwamba Mourinho alikuwa akikosea setup ya timu...leo kapata jibu...Pogba na Mata siyo wachezaji wa kuwabana kwenye positions zao...waache wawe huru ndiyo utaona umuhimu wao...lakini bila kusahau kumweka Anders, Morgan au Carrick kwenye namba 6...Khe kheee kheeeee Nzi where are Bro? Njoo huku kuna karamu/fiesta huku Mkuu.