Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1474485643300.jpg
 
Memphis majanga...mngekuwa mnacheza na timu nzuri kiasi mngefungwa.

Mpaka sasa 33'

wao 0 - 1 nyie.

Ooh rooney nahisi bado hajajijua kuwa ni striker.
Duuhh afadhal pia sijaenda maana ningelala na hasira, asante kwa updates mkuu
 
Blind kacheza foul...and its a penalty.

Alex Revell anaifungia timu yake na kusawazisha.

Wao 1 - 1 Nyie.

42'
 
ROONEY NDO MCHEZAJI ANAYECHEZA HOVYO PALE UNITED
I agree hata hii penalty ni yeye alinyang'anywa mpira kwanza.

rooney na Memphis wamepoteza mipira sana.

Young hana tena speed kama zamani...

Watoto wanacheza kwa kujiamini sana..romero kakoswakoswa lingine hapa.

Wanacheza long balls sasasa...nyingi upande wa Mensah amekuwa uchochoro. Huku kwa Blind na Rojo pako fit and safe kwa sasa.
 
1 - 1 BLIND ANATUGALIMU
Si kweli huwezi mlaumu blind kwa ile penalty yale ni makosa ya defence upande wa kulia. Yeye alikuwa anajaribu kuzuia makosa yao..it could happen to any player. Hajacheza rafu ya makusudi hata kidogo.

Naomba kumtetea.
 
Si kweli huwezi mlaumu blind kwa ile penalty yale ni makosa ya defence upande wa kulia. Yeye alikuwa anajaribu kuzuia makosa yao..it could happen to any player. Hajacheza rafu ya makusudi hata kidogo.

Naomba kumtetea.
SOR MKUU HIZO BEKI ZA PEMBENI ZIMEZINGUA SANA HALAFU HAKA KATIMU KWELI KAKUTUTOA ROHO YAANI HATA 5 TUSHINDWE KWELI HII ITAKUWA AIBU KWETU
 
NAJIANDAA KUSEMA PIGAAAAAAA MBWAAAAAA hvyo hawa NORTH wasiniangushe
 
Duh kimeumana...ila kanifurahisha.

Kafanya mabadiliko mapeema kabisa. Wahindwe wenyewe.

Ibrahimovic and Rashford IN

Depay and Fosu Mensah OUT
 
Back
Top Bottom