Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1474460488876.jpg


WASHABIKI WA MAN U KWENYE JUKWAA LAO
 
afu asitupie uone maneno ya haters.


Hapo ndo mana jamaa wanaichukia united ukichek ina nguvu kipesa wapo huku muda wote ed akiamua kuinunua arsenal iwe timu b halafu wakina depay wawe wanafanya mazoez na kina xhaka anaweza kama dogo miaka 18 anavuta hela hiyo tuna haki ya kuchukiwa wakat walcot aligoma kusain mkataba anataka 60 noma sana
 
Kiongozi, lakini wameuza jezi sana aisee. $110m and haircuts sio haba. Utani pembeni, kwa moron ho wataambulia msimu mmoja, ziaidi ni maumivu.


Paul Pogba may have cost Manchester United a small fortune, but the French midfielder has already started repaying his ginormous fee after it was revealed his shirt sales have reached £190 million in just three weeks.
As one of Adidas’ main sponsored athletes, the German sportswear company invest most of their marketing and advertising budgets into the 23-year-old, and it seems to be paid off in spades.
It has been revealed by Adidas that Manchester United shirts with ‘Pogba 6’ on the back have blown away records for fans purchasing them – by generating almost £200 million since the first week of August.
Adidas have confirmed that Paul Pogba shirt sales have surpassed £190M. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG] |
[HASHTAG]#Pogback[/HASHTAG]
pic.twitter.com/QJVP198dCE
 
Unawezaje kuvumilia maumivu yanayochoma moyo hivyo



mi mbona sinaga maumivu kumbe arsenal mnaumia eee itakuwa mioyo yenu ina matundu kama vyandarua sisi ni burudani tunaiman na timu yetu ya nini ujipe maumivu wakat kila mchezaj wakiamua kumpata wanao huo uwezo maumivu yapo kwenu bana
 
Wakuu leo nimekwama, ckua na kampan ya kwenda nayo mpiran,

Naombeni mnijuze tunacheza mpira wa aina gan, tumetulia au ndo majanga
 
Wakuu leo nimekwama, ckua na kampan ya kwenda nayo mpiran,

Naombeni mnijuze tunacheza mpira wa aina gan, tumetulia au ndo majanga
Memphis majanga...mngekuwa mnacheza na timu nzuri kiasi mngefungwa.

Mpaka sasa 33'

wao 0 - 1 nyie.

Ooh rooney nahisi bado hajajijua kuwa ni striker.
 
Back
Top Bottom