Mr Dumila
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 271
- 537
Mwenyekiti FA
POBOX 011
Manchester
YAH: KUOMBA MECHI YA KUJIPIMA NGUVU NA MAN UTD
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu. Sisi MBAGALA MARKET FC kupitia uongozi wetu..tunaomba mechi iliyo rasmi na MAN UNITED ya nchini Uingereza kwani tunaona tunaendana kiuwezo na pia ni kipimo chetu kizuri tu. Tunatanguliza samahani zetu za dhati kwani tunajua ya kwamba wapo kwenye ligi hata sisi tunajiandaa na ligi pia...ila basi tunaomba hata katikati tu ya wiki tukipige..Kuhusu malazi na usafiri vyote tutawalipia na saloon zipo kwaajili ya pogba.
ASANTENI
Wako katika michezo
Mwenyekiti wa mbagala market
POBOX 011
Manchester
YAH: KUOMBA MECHI YA KUJIPIMA NGUVU NA MAN UTD
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu. Sisi MBAGALA MARKET FC kupitia uongozi wetu..tunaomba mechi iliyo rasmi na MAN UNITED ya nchini Uingereza kwani tunaona tunaendana kiuwezo na pia ni kipimo chetu kizuri tu. Tunatanguliza samahani zetu za dhati kwani tunajua ya kwamba wapo kwenye ligi hata sisi tunajiandaa na ligi pia...ila basi tunaomba hata katikati tu ya wiki tukipige..Kuhusu malazi na usafiri vyote tutawalipia na saloon zipo kwaajili ya pogba.
ASANTENI
Wako katika michezo
Mwenyekiti wa mbagala market