Mourinho asipoacha mind ya kucheza bila Game controller itatucost... Mipira ya kizamani ndo ya kutumia minguvu kama fellaini Tatizo linalopelekea kina martial wanarudi nyuma kuchukua mipira afu wanafanya mistake ni sababu midifield imekosa mtu wa kupeleka mashambulizi... Ni bora uwe na Carrick asiyekaba lakini timu inashambulia na kutengeneza nafasi kuliko Fellaini anayekaba lakini timu inashambuliwa na hapeleki creative balls mbele...
Pogba won't succeed with Fellaini
Carrick type of player ni muhimu sana