SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Mmmh kama ni hvyo uku Man Utd anashindwaje.
Upo clearlyNazungumzia Fellaini wa msimu huu sio huko nyuma,Hii gemu sio ya kumlaumu Fellaini.Since Mourinho kaja Fellaini ndio kiungo anayecheza vizuri
Kujihami vipiiiii..?kapigwa chelsea mashabik wa aseno,liverpool na wale waliokat walio hamia man city wapo kimya ngoja klabu kubwa ifanye vibaya wanafarakana utaaona humu mara mbili mbili nimeamini manchester united ni brand kubwa na moja ya club kubwa na yenye nguvu watu wana wivu balaa karibuni huku kwenye mti wenye matunda.
Hapa kichwa kinauma bila kulia.
Kijana angalia Serengeti Boys wanavyosakata kabumbuWakaanga sumu naona mnajilamba midomo kweli kweli....haya bana, tambeni tu sasa, maana hakuna namna...ila ligi bado mbichi, msisahau hilo...kumbukeni katika EPL namna unavyoanza ligi uwa hauna maana sana....tusubiri hadi Disemba ndipo picha itaonekana...ingawa sina maana nafurahia matokeo ya timu sasa, ila bado sijaona what's the fuss, wakati ni mechi ya 5 tu..
Mila haziendi hivyo...Kama haupo ndiyo vizuri tunatengua fasta.
KimyaaaTimu ya ma barmaids na houseboys imefungwa na leo??
David Moyes ameandika barua ya kutengua kufukuzwa kwake Man. United. Mou atafute timu ingine mpya mapema ya kuwapelekea mikosi. Aende West Ham au Newcastle.Tatizo sio Pogba, tatizo ni Rooney na Fellaini.
Rooney anamzuia Pogba kutawala sehemu ya kiungo kwa kurudirudi nyuma na Fellaini amenuiziwa na David Moyes.
Hakuna sababu ya kuwapanga Rooney na Pogba kwenye first X1
Pogba hayuko huru.
Muda tutampa wa kutosha sanaTumpe muda aijenge timu kwanza
Mmh ngoja tuone.Kakuta timu mbovu sasa hana ujuzi wa ku-transform team mbovu kwenda timu nzuri
Upo clearly
Mchawi # 1 Rooney
Piga benchi Rooney. & Martial kila siku upupu
................
Naskia hainaga ushemej...Tunakula........Naskia hainaga ushemej........Tunakulaga.....Zam ya nan leo...Zam ya Watford..Zam yetu itafka kesho uckonde baharia wnguMan cty kapita..Feyenood kapita.Watford kapta...
Yaaani bora hata sare . ...sijui wachezaji wa a mgomo baridi.Pole sana kupenda kitu kibaya, na hizi mechi ambazo wapenzi na washabiki wanategemea ushindi 110% mkifungwa inaumiza sana, bora hata sare.
Mungu anakuona
Sielewi hatuna bahati ama ni niniNimemuomba anisamehe tu maana si kawaida kwa MANU especially baada ya kutumia gharama kubwa sana labda kuliko timu yoyote ile Europe kwenye usajili kudorora kiasi hiki tena katika mechi mfululizo.