Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1473929820257.jpg


 


Mnajaribu kumshusha thamani lakin hamtoweza kacheza game 4 tu kuna mechi zaid ya 34 sijui akiwafumua aseno mtakuja tena huku nlipokuwa naangalia mpira mech ya aseno na man united kuna alimdhihak rashford kipind wanaingi uwanjani wajua nn kilitokea::::::: akaja game na city wakasema atapita vip kwa mangala nn kilitokea muda ni kitu rafik
 
Back
Top Bottom