Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

8bee6590b7cf9b76f8222debbdd039e5.jpg

Tunataka chenji yetu hii deal kama ya rada tu tumepigwa haiwezekani.
 
Mimi ni shabiki wa kitupwa wa Barcelona na Guardiola, Man U naichukia zaidi ya navyo mchukia shetani, Guardiola kanifurahisha sana walahi....pigaaaaaaaaaa hao mwanitesa yunaotedi.....na kibabu fergie nilikiona Jana jukwaani kinatingisha kichwa tu....pigaaaaaaaaaaa hao weziiii
 
Mimi ni shabiki wa kitupwa wa Barcelona na Guardiola, Man U naichukia zaidi ya navyo mchukia shetani, Guardiola kanifurahisha sana walahi....pigaaaaaaaaaa hao mwanitesa yunaotedi.....na kibabu fergie nilikiona Jana jukwaani kinatingisha kichwa tu....pigaaaaaaaaaaa hao weziiii
hahaha nimefikiria kuanzisha special thread ya Alaves baada ya maelezo yako
 
Nchamehe wangwe...... Ila baba Mourinho ananipa raha kaanza Refa wanaangusha Mara oooh wachezaji wanaangusha..

Tehe tehe tehe tehe.......



Wapi Nzi?
Nzi makazi yake ni jalalani.
Ntuzu bandugu umemfuata Mou kwa Everlenk?
Domokaya amenza kufyatua watoto wa kinywa(maneno kakasi) ,hana kawaida ya kukubali kwa heshima kwamba alizidiwa maujanja na mpinzani wake na kwamba mpinzani alistahiki kupata mapointi matatu yote.
Reality check kwa Mou imeanza mapema.

Naona litimu la bluuzii limeanza vizuri, au umehama kule umemfuata "Aliko, niko/ alipo, nipo?"

Link Man Utd 1-2 Man City: Referee made two big mistakes - Jose Mourinho

Link2. Man Utd 1-2 Man City: Jose Mourinho's poor run v Pep Guardiola continues

(Ma-title), mavichwa ya habari mengine yanaudhi, etiii!

Link3. Manchester derby: Man City put Man Utd in their place

Huu ustaarabu Domokaya bin Mpayukaji hauwezi kabisa.

Link Liverpool 4-1 Leicester: Claudio Ranieri admits Reds 'deserved to win'
 
tulikuwa na tension kubwa dhidi ya timu kubwa, hatukuwa normal kipindi cha kwanza
 
Then Mou alikuwa sahihi kwa kuanza na kikosi kile alikiona kikosi cha Gardiola kwa match mbili za mwanzoni, baadhi ya wachezaji wa man u walipoteza focus na hawakuwa mchezoni
 
Pogba jana alikuwa mchezoni, alikuwa kwenye kiwango chake cha kawaida sema mfumo wa timu pinzani ndio tatizo
 
Man city kipindi cha kwanza hawakucheza head to head ndio mana hawakutumia eneo la kati kabisa, so Pogba akosa wa kukabiliana naye, timu ikakosa holding Midfielder wa kumsuport Pogba, lakini kama uliangalia dk 30 za kipindi cha Pili tulianza kumuona Pogba na Herera wakisumbuA
 
But all in all nakubaliana na Pep ni Fundi katika mifumo,win to win ilikuwa 50/50 kwa timu zote, at the end timu yenye bahati ilishinda
 
Kile kiatu kwa becky umeshasahau?

Ile issue ilidiliwa in the dressing room ikabaki in dressing room. Ni rumors zilizotoka, si Beckham or SAF alishasema hivyo mbele ya Press.Sisemi kwamba havikutokea. Sijawahi kumsikia SAF anasema "wachezaji wameni-disappoint, let me down" Makocha wana take accountability timu zinaposhindwa na kusifia timu inaposhinda. Mourinho alivyosema ni tofauti kaweka 50% ya blame kwake, na zilizobaki kawatwisha wachezaji wake, kitu ambacho huwezi kuzisikia kwa makocha wakubwa kama Mourinho....
 
BTW ile saa expensive yenu ya sijui Movado, sijui Rolex iliyopotea jana mmeshaipata?
 
Ile issue ilidiliwa in the dressing room ikabaki in dressing room. Ni rumors zilizotoka, si Beckham or SAF alishasema hivyo mbele ya Press.Sisemi kwamba havikutokea. Sijawahi kumsikia SAF anasema "wachezaji wameni-disappoint, let me down" Makocha wana take accountability timu zinaposhindwa na kusifia timu inaposhinda. Mourinho alivyosema ni tofauti kaweka 50% ya blame kwake, na zilizobaki kawatwisha wachezaji wake, kitu ambacho huwezi kuzisikia kwa makocha wakubwa kama Mourinho....
Jana walimtafisiri vibaya, alikubali kuwa alikosea kupanga baadhi ya wachezaji, sasa akasema hawakumpa alichotaka. Japo Mou ni tabia yake yeye kujitetea ila kwa jana lawama alikubali kuzibeba
 
Back
Top Bottom