Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

utaongea kila aina ya lugha hizo ni kauli za ma under dog humu jipange haswaa tunahitaji kubadilishana mawazo na wakina barcelona,buyern,real madrid sasa wewe city hata nottingham forest kumpangua inshu unazama google unakuja na picha za ma player huijui hata origin ya city alooo nakuonea huruma
Ahahaaaah...
Wewe ni zaidi ya MWEHU..!
 
1473529720659.png

 
Once, red and always red we had our chances at second half but we were not lucky enough to take em mistake happened n that makes the coach better coz another time he will make a good line up in order nat to repeat what happened today
Manchester is
 
Mourinho alikorofishana na wachezaji wake akiwa Chelsea last season kwa sababu hii hii. Actually kulaumu wachezaji wa upinzani na marefa, pitch, weather hadharani ni jambo la busara kuliko anavyofanya Mourinho.
Wewe unachekesha. Kulaumu watoto wangu hadharani si sahihi ila kulaumu watoto wa jirani hadharani ni sawa. SYFH!
 
utaongea kila aina ya lugha hizo ni kauli za ma under dog humu jipange haswaa tunahitaji kubadilishana mawazo na wakina barcelona,buyern,real madrid sasa wewe city hata nottingham forest kumpangua inshu unazama google unakuja na picha za ma player huijui hata origin ya city alooo nakuonea huruma
 
Teh teh teh teh teh teh! Niliwaona Watu Wa Ajabu Sana Pale Mulipofurahi Kuwa Morinho Kateuliwa Kocha Wenu!!
Kwasisi Tunayemjua Mourinho Tulijua Wazi Haitafika Xmass Bali Mutaomba Atimuliwe!
Leo Mushakula 2 hizo...


Man City You Have Made My Day! Congrat.....
Mkuu,uliwahi kufanya nae kazi popote pale??
 
Back
Top Bottom