Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Wako vizuri sanaPartnership ya bailly na blind ni another level
Wako vizuri sanaPartnership ya bailly na blind ni another level
Naomba matokeo...yani umeme ulikuwa umekatika na kasimu kangu kalikuwa kamekufa....ndiyo imefufuka...hapa naona Rooney na Rashford wanasifiwa....eh nisimulie kidogo.
Rashford kafanye yakeAh kule palikuwa sababu ya shule .....shule imeisha nimerudi kijijini kwetu karibia na kwenu......nawe bado upo uku shamba.? Au wazee wa VAT walikuamisha mji?
Asante atimae nae kaona nyavu.![]()
![]()
![]()
![]()
Rashford kafanye yake
Asante atimae nae kaona nyavu.
Poa we nipitie tu....nami najiandaa vyema....Siku hizi nimezidi kuwa kibaka. Nipo kila sehemu.
Tarehe 1 sept nitakupitia twende kwenye ukuta.
Poa we nipitie tu....nami najiandaa vyema....
Unajua nilikuwa nakutafuta....sasa juzi nikakubamba mahali....nikasema kumbe ni wewe.....aya fanya kunichek mana nina ishu moja kuhusu lukoa.....
Thanks God duhhh Hullcity walitaka kuharibu shughuli
Halafu mnajua nini wakuu,
Kuanzia leo naanza kuhesabu mechi ambazo Degea hajageuka kambani kuokota mpira. Leo ni mechi ya pili. Kwa ukuta huu, kiungo hiki, naamini atavunja Record ya Vandeser ambaye kipindi fulani alienda mpaka mechi ya 11 kama sikosei.
GGMU GGMU GGMU
BACK TANGANYIKA