Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,244
Very smart!! Nilicheka sana.Daaah
Mi mwenzenu kanichekesha Mou alivo mtafuta smalling kwa haraka baada ya goli kuingia
Hahaha
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Very smart!! Nilicheka sana.Daaah
Mi mwenzenu kanichekesha Mou alivo mtafuta smalling kwa haraka baada ya goli kuingia
Hahaha
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Mourinho kajitahidi kumtetea juzi kwenye Press akidhani leo atabadilika LAKINI wapi, ukimuangilia usoni utajua tu kuwa ANAFIKIRIA vitu vingine.Hahahaa
Yaan umefikria kama mimi vile
Martial inabidi abadilike.Ila martial akiendelea vile dogo rashford ata taftiwa pa kukaa zaid yake
Mkuu mi nimemshutua mke wangu ambae alikua kashalala kwa nilivorukaNimeshangilia ka chizi dah Rashid makame asante sana
Na umeshangilia peke yako......unapakumbuka mwananyamala kwa mama zakaria.
Kausingizi kanakuja katamuuuu balaaa.
Mkuu nna mawazo kama yako, nadhani mou sashford badala martialIla martial akiendelea vile dogo rashford ata taftiwa pa kukaa zaid yake
Enzi za babu mpaka mpira uishe ndo mnajua tumefungwa yaani kama tungetoka sare na hawa jamaa duh kila nikitizama najua tutafunga muda unakwenda hatimae kweliHii ndio Man Utd ninayoijua
Ah kule palikuwa sababu ya shule .....shule imeisha nimerudi kijijini kwetu karibia na kwenu......nawe bado upo uku shamba.? Au wazee wa VAT walikuamisha mji?Napakumbuka sister. Nitakuja tena. Bado upo huko?
Angalia nae awe kwenye mood....utaishia kwenye omo.Bi mkubwa hapa ataipatapata..!!
Napiga vinne leo ijapokuwa ninamazoea ya kupiga viwili..!! Zile Redbull bar, Ugwadu, plus Furaha ya ushindi vimeniongezea nguvu ya ziada...!!
Aisee ngoja niwahi bana, kesho wadau!!
BACK TANGANYIKA
Mi mwenyewe nilikuwa najua anaenda kushangilia na wachezaji akiba kumbe anamtafuta smalling akamaloze kaziDaaah
Mi mwenzenu kanichekesha Mou alivo mtafuta smalling kwa haraka baada ya goli kuingia
Hahaha
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]