Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

toxic9 umeona alichosema huyo mpiga domo wenu Mourinho juu ya kiasi alichonunuliwa Pogba? Hayo chini ni maneno yake mwenyewe. Soma vizuri afu katafute alichosema Wenger ufananishe.

"If you ask if I think it is a lot of money, I think football is crazy. The market has become crazy."
Mkaanga sumu umekuja?!
 
Kumbuka kilichomfanya Mata ahamie Man Utd ilikuwa kama jana. Katika mechi ya Chelsea vs Leicester city ambayo Chelsea walishinda 2-1 Mourinho(wakati both wakiwa Chelsea) alim-sub Mata baada ya kumwingiza 30minutes, kama alivyofanya jana. Baada ya hapo Mata aliuzwa Man United. Tusubiri tuone kitakachotokea.
Wacha auzwe tu hatutapungukiwa na kitu. Wapo akina Herrera wanakaa bench
 
Mata was the smallest player on the pitch....it was a logical substitution.
Size matters not as Messi's case demonstrates day in day out! It is all about talent. The problem for Mata is no because of being a miniature but lack of pace and consequently he slows the rhythm
 
Size matters not as Messi's case demonstrates day in day out! It is all about talent. The problem for Mata is no because of being a miniature but lack of pace and consequently he slows the rhythm
When it comes to defend size matters. Three minutes to go under serious aerial bombardment that was a very good substitution.
 
+20
Pogba and his entourage arrived at United's Aon Training Complex at Carrington on Monday to huge interest
 
1470671395246.jpg
+20
Pogba and his entourage arrived at United's Aon Training Complex at Carrington on Monday to huge interest
 
UK Showbiz
US Showbiz
Australia Home
Femail
Health
Sci & Tech
Video
Money
Travel
Login | Join now
Desktop site
Sport
Share this article
Facebook
Twitter
e-mail
SMS
WhatsApp
Paul Pogba driven to Manchester United training ground in Chevrolet Camaro as France midfielder gets ready for medical ahead of world record £110million move

By Alex Bywater For Mailonline
11:21 GMT 08 Aug 2016, updated 15:28 GMT 08 Aug 2016
+20
Facebook
Twitter
e-mail
SMS
WhatsApp
831
comments
Paul Pogba was driven to Manchester United's Carrington training base on Monday afternoon
Pogba flew into Manchester from New York via Nice and will now undertake his medical
The midfielder is very close to tying up the final details of his lucrative United deal
Pogba's move from Juventus back to his former club will cost more than £100million
Manchester United transfer news: Click here for all the latest as Jose Mourinho wraps up Pogba deal
Paul Pogba has landed in England ahead of his world record £110million move from Juventus to former club Manchester United.

The France midfielder's return to Old Trafford has been the transfer story of the summer but is nearing completion with Pogba driven to United's Aon Training Complex in a Chevrolet Camaro on Monday afternoon to undertake his medical after landing on a flight from Nice having been in New York. He was joined in the car by one of United's security staff.

Pogba is moving back to United - the club he left for just £800,000 in compensation in 2012 - for a new world record fee. United's training base includes facilities where Pogba's medical will be undertaken. He is expected to sign a five-year contract worth £290,000 a week once that is completed.

+20
Paul Pogba has arrived in England and is ready to undertake a medical with Manchester United
+20
France midfielder Pogba is all smiles as his £110million move from Juventus moves ever closer
+20
Pogba and his entourage arrived at United's Aon Training Complex at Carrington on Monday to huge interest

+20
Pogba was driven to United's training complex early on Monday afternoon after flying into England

1470671497928.jpg
 
Kuna kitu kinakosekana kwenye timu yake itachukua kamuda kidogo kuwa sawa hasa kwenye defence game ya jana dogo gray ameanza kuwa mjinga mjinga, passion ya Mahrez imepotea. Mbaya zaidi wako kwenye pressure kubwa kututhibitishia hawakubahatisha

Naona 'African Messi' Mussa ameanza kuizoea ligi mapema
Kuna kitu umekiacha nyuma mkuu,
Wakati unawaza na kuchambua kufungwa kwa Leicester city ni sawa, lakini unasau kuchambua na upande wa pili wa man u, kwanini isiwe kufungwa kwao kumechangiwa na ubora wa man u ya sasa tofauti na ya msimu uliopita. Ckuona tatizo kubwa kwa city, bado wapo vizuri sana kiushindani.
 
toxic9 umeona alichosema huyo mpiga domo wenu Mourinho juu ya kiasi alichonunuliwa Pogba? Hayo chini ni maneno yake mwenyewe. Soma vizuri afu katafute alichosema Wenger ufananishe.

"If you ask if I think it is a lot of money, I think football is crazy. The market has become crazy."
Mkuu bado tupo kwenye hilo tu, Hiyo kauli Mourinho aliitoa kujibu hoja za wadau wa soka kuona mourihno anatumia pesa nyingi sana kumsajili Pogba , maana pogba atatua OT kwa kuvunja record ya G.bale, so aliwajibu klopp na wenger na akaongezea hayo maneno kwamba soko la wachezaji sahivi ni tabu na ni tofauti na hapo nyuma na akaongeza kusema kwa pogba anastahili na ni mchezaji mzuri sasa siwezi kumuacha kwa kuwa ni wa gharama, na hilo jibu was ahit back to klopp na wenger
 
Mkaanga sumu umekuja?!
Jamaa amekomaa na Pogba kweli,hata nashindwa kumuelewa ni wivu gani huu, ila ndiyo hivyo sasa Pogba yulee anakuja anatua OT sijuwi atajiuwa, huwa simuelewi huyu jamaa,
 
Kijana karudi nyumbani

48700F5A4DED4A1D968BA2AA49AFAA8B.ashx


United sign Pogba
Manchester United is delighted to announce that Paul Pogba has completed his transfer from Italian club Juventus. Paul joins on a five-year contract, with the option to extend for a further year.

Paul, 23, has been with Juventus for four seasons, making 124 appearances and scoring 28 goals. He joined the Bianconeri from United in 2012.

The midfielder has been capped by France on 38 occasions, scoring 6 goals and was a member of the recent squad that reached the final of Euro 2016.

Paul Pogba said:

“I am delighted to rejoin United. It has always been a club with a special place in my heart and I am really looking forward to working with José Mourinho. I have thoroughly enjoyed my time at Juventus and have some fantastic memories of a great club with players that I count as friends. But I feel the time is right to go back to Old Trafford. I always enjoyed playing in front of the fans and can’t wait to make my contribution to the team. This is the right club for me to achieve everything I hope to in the game.”

José Mourinho said:

“Paul is one of the best players in the world and will be a key part of the United team I want to build here for the future. He is quick, strong, scores goals and reads the game better than many players much older than he is. At 23, he has the chance to make that position his own here over many years. He is young and will continue to improve; he has the chance to be at the heart of this club for the next decade and beyond.”
 
Back
Top Bottom