Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shukran naona umekuja kutoa hongera kisha unaondoka ungekaa kidogo.
Naam [emoji122] [emoji122] [emoji122] niambie mkuu. Baba yangu Mourinho kaanza kazi kwa kuinua ngao......

Wapi mupenzi ya Mimi everlenk [emoji8] [emoji7] na mchepuko wa mie cute b [emoji182]

Ligi karibu kuanza na Mimi nimeanza kurudi Jf baada ya kupotea kwa muda mrefu..[emoji123] [emoji106]
 
Naam [emoji122] [emoji122] [emoji122] niambie mkuu. Baba yangu Mourinho kaanza kazi kwa kuinua ngao......

Wapi mupenzi ya Mimi everlenk [emoji8] [emoji7] na mchepuko wa mie cute b [emoji182]

Ligi karibu kuanza na Mimi nimeanza kurudi Jf baada ya kupotea kwa muda mrefu..[emoji123] [emoji106]
Wawaulizia first ladies wetu?
 
1470638980891.jpg
1470638998217.jpg
 
Uzuri mmeshaonesha njia ya kuwa msimu huu hamtabeba kombe lolote tena baada ya kuchukua 'the cursed cup' [emoji12] [emoji12] [emoji41]

Nimelipenda goli la dogo Lingard limenifungulia file la magoli mazuri 2016/17 kwangu, hii staili mpya ya ushangiliaji inaitwaje? Maana naona kaamua kuibadili baada ya kuona king of dab anakuja

All in all hongereni watani kwa kujitutumua
Inaitwa "Hit them folks" [emoji266] [emoji266] [emoji266]
 
Back
Top Bottom