Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1470638980891.jpg
1470638998217.jpg
 
Uzuri mmeshaonesha njia ya kuwa msimu huu hamtabeba kombe lolote tena baada ya kuchukua 'the cursed cup'

Nimelipenda goli la dogo Lingard limenifungulia file la magoli mazuri 2016/17 kwangu, hii staili mpya ya ushangiliaji inaitwaje? Maana naona kaamua kuibadili baada ya kuona king of dab anakuja

All in all hongereni watani kwa kujitutumua
Inaitwa "Hit them folks"
 
Back
Top Bottom