Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Wewe jamaa upo?
Wewe jamaa upo?
Mkuu hizi mambo umetengeneza mwenyewe nini?
Ngoja nikalegee kwenye jukwaa languShindwa na ulegee hapo hapooo
Mhhhh wasaga sumu wengiiiiiii![]()
![]()
![]()

Nipo mkuu ..... habari za sikuWewe jamaa upo?
Safi tu. Naona wazee NNE NNE tuNipo mkuu ..... habari za siku
Kumbe, ligi ipo njiani tujipange kushangilia kucheka kuhuzunika kuponda timu nyingine. Hahahah![]()
Pre season huwa hainipi presha
Shukran naona umekuja kutoa hongera kisha unaondoka ungekaa kidogo.Hongereni![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Inaitwa "Hit them folks"Uzuri mmeshaonesha njia ya kuwa msimu huu hamtabeba kombe lolote tena baada ya kuchukua 'the cursed cup'![]()
![]()
![]()
Nimelipenda goli la dogo Lingard limenifungulia file la magoli mazuri 2016/17 kwangu, hii staili mpya ya ushangiliaji inaitwaje? Maana naona kaamua kuibadili baada ya kuona king of dab anakuja
All in all hongereni watani kwa kujitutumua

Kumbe, ligi ipo njiani tujipange kushangilia kucheka kuhuzunika kuponda timu nyingine. Hahahah
#waitingFORepl
kama namuona Ranieli anavyofukuzwa kabla ya disemba....
