Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ila mbona ana timu nzuri. Msimu huu tutaona mengi sana.

Ila ajiandae Ranieri maana timu zimejipanga
Kuna kitu kinakosekana kwenye timu yake itachukua kamuda kidogo kuwa sawa hasa kwenye defence game ya jana dogo gray ameanza kuwa mjinga mjinga, passion ya Mahrez imepotea. Mbaya zaidi wako kwenye pressure kubwa kututhibitishia hawakubahatisha

Naona 'African Messi' Mussa ameanza kuizoea ligi mapema
 
Kuna kitu kinakosekana kwenye timu yake itachukua kamuda kidogo kuwa sawa hasa kwenye defence game ya jana dogo gray ameanza kuwa mjinga mjinga, passion ya Mahrez imepotea. Mbaya zaidi wako kwenye pressure kubwa kututhibitishia hawakubahatisha

Naona 'African Messi' Mussa ameanza kuizoea ligi mapema
Presha ya kutetea ubingwa itawatesa sana. Mahrez nahisi kama anataka kwenda timu kubwa hivi. Kiungo mkabaji yule Mendy mpaka afit kama kante.

"Mussa" tumpe mda kidogo
 
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME" atafanyaje wakati wote ni wanaume? mchungaji akapiga moyo konde na kusema "tangu sasa ninyi ni MAN UNITED"
Kwa kwa kwa kwaaa, kwe, kwe, kweeee, kwii kwii, kwii, kwiiiii..... Nitumie namba yako ya M-pesa,.... Hatariiii..
 
1470656069411.jpg
 
Wakuu naomba msisahau kuwakumbusha haters kuwa...
#POGBACK.... , Hii ndo raha ya kuwa shabiki wa klabu tajiri...
 
Kashuka Leo saa tano asubuhi kwa private jet akitokea France. ....saa saba mchana wa UK ndio ameanza kufanyiwa uchunguzi wa kidaktari.
 
Alisema mata ana umbo dogo na alitaka kuzuia mipira ya juu....na sub zilikua bado zipo nyingi tu...akaamua mtoa mata!!!

Kumbuka kilichomfanya Mata ahamie Man Utd ilikuwa kama jana. Katika mechi ya Chelsea vs Leicester city ambayo Chelsea walishinda 2-1 Mourinho(wakati both wakiwa Chelsea) alim-sub Mata baada ya kumwingiza 30minutes, kama alivyofanya jana. Baada ya hapo Mata aliuzwa Man United. Tusubiri tuone kitakachotokea.
 
toxic9 umeona alichosema huyo mpiga domo wenu Mourinho juu ya kiasi alichonunuliwa Pogba? Hayo chini ni maneno yake mwenyewe. Soma vizuri afu katafute alichosema Wenger ufananishe.

"If you ask if I think it is a lot of money, I think football is crazy. The market has become crazy."
 
Back
Top Bottom