Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
![]()
![]()
kama namuona Ranieli anavyofukuzwa kabla ya disemba....
Hapo red sisi hapatuhusu kwetu ni mwendo wa pointi 3 tu![]()
![]()
ila mbona ana timu nzuri. Msimu huu tutaona mengi sana.Ila ajiandae Ranieri maana timu zimejipanga

