lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Tusubiri tuone mkuu..Hahahaha
Ila kwa kuwa kila mtu ana pigania maisha yake wata pambana tuu
Tusubiri tuone mkuu..Hahahaha
Ila kwa kuwa kila mtu ana pigania maisha yake wata pambana tuu
vipi mkuu ashatua pogba?Pogba athibitishwa mda huu
vipi mkuu ashatua?Welcome back Pogba
#Pogback
as the reds go marching on on onGroly groly groly man United
Wewe nawe akili zako ni fupi hakuna mfano hata kusoma huwezi, nani aliosema pogba ni mchezaji wa Man U? shule zitusaidie banah sio kujaza madawati yalio pigiwa harambee na serikali, nimeandika hivi wenger amemkejeli mourihno kwa pesa anazotalajia kumsajili pogba sasa hujaelewa neno KUTALAJIA ubongo wako mweupe sana...
Mh hiki kiingereza cha mashabiki kibovu kama timu yenyewe...mkusanyiko wa stars wasio na cohesion!!!Groly groly groly man United
DK 12, bado 0-0Wakuu naomba muwe mnapost update za hii game inayoendelea.. Nipo safarini , nmejaribu kucheki kwa livestream ila mtandao ndo unakata kata... #GGMU