Hiyo hufanyika kwa Wachezaji ambao washastaafu.Mara nyingi testimonial (kwa kumbukumbu yangu) unakuta mchezaji anakaribisha wachezaji aliwaowahi kucheza nao katika career yake na wale waliomvutia kimpira. Kama unakumbuka katika testimonial ya Paul Scholes alikaribisha wachezaji aliowahi kucheza nao na waliomvutia hata kama hawawahi kuchezea Man Utd. Nakumbuka Patrick Vieira na Brad Friedle(japo hawakuchezea Man Utd) walitinga uwanjani kucheza along side Paul Schole, Scholes aliwakaribisha. Halafu kuna wachezaji wengine huwa wanachezea timu mbili Mfano Rooney angechezea Man Utd first half afu second angechezea Everton. Nadhani Dennis Bergkamp alifanya hivi katika testimonial yake Arsenal vs Ajax (I could be wrong)
Wenger banah ni lini ataacha kumsema Mourinho, anamponda Mourinho kwa usajili wa pogba kwa pesa anazotalajiwa kuletwa OT, kama yeye mchumi apite hivi,Hahhaaa na msisingizie wenger hajasajili msimu huu...,.....
Wenger banah ni lini ataacha kumsema Mourinho, anamponda Mourinho kwa usajili wa pogba kwa pesa anazotalajiwa kuletwa OT, kama yeye mchumi apite hivi,
centrocampista francese è arrivato nella città inglese in semi clandestinità: domani sosterrà le visite mediche con lo United. L'ufficialità nei prossimi giorni: 110 milioni alla JuveAs we speak Pogba ni mchezaji wa Juventus. Wenger alikuwa anamwongelea mchezaji wa Juventus sio Man utd.
Please tafsiri. Wengine hatujasoma, hatujui kiitaliano. No joking. Anyway, hadi waki-confirm ndipo tutajua kuwa ni mchezaji wa Man Utd ama sivyo itakuwa ni rumours.centrocampista francese è arrivato nella città inglese in semi clandestinità: domani sosterrà le visite mediche con lo United. L'ufficialità nei prossimi giorni: 110 milioni alla Juve
Amen.....ndiyo tunaanza hivyo kukusanya makombe......Trophy ya kwanza tunaichukua leo.
#GGMU #StretfordEnd #ManUtd #CommunityShield