Hello ma fans wenzang wa manchester united ...kuna account ya instagram imefunguliwa mahususi kwa ajili ya mashabiki wa man utd tanzania njooni tukutane hapa tujenge umoja ambao tutaufurahia, tu commentkwa wingi na siku za usoni tunaweza kufanya mambo mazuri ikiwemo kwenda hata uwanja wa old traford. Tunataka wajue kua tanzania kuna mashabiki wengi wa timu yao wanayoipenda. Account ya instagram inaitwa ....manutz_fans
karibuni. Na karibu paul pogba