Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME" atafanyaje wakati wote ni wanaume? mchungaji akapiga moyo konde na kusema "tangu sasa ninyi ni MAN UNITED"
Mkuu hiyo avatar yako na ulicho andika hapa ni tofauti ni MAJI na MAFUTA ya TAA.......
 
usinikasirikie hivyooo wangu,Magu kanibana kila kona aiseee,ligi ikianza utaniona sana tu ,nitakuwa nakuja tutazame mechi wote.
tena msimu huu ni kushinda kila match maana sio kwa usajili huu pogba huyooo tunampokea tunasubiri kibali cha juve tu, kwa hiyo ni msimu mzuri tukiwa tunaangalia match wote kwa kuwa hakuna kununa ni shangwe mbele kwa mbele
 
Real Madrid have pulled out of the race to sign Paul Pogba

Manchester United's path to sign Paul Pogba is now clear after Real Madrid ended their interest in the midfielder for financial reasons, Sky Sports News HQ has been told.
According to sources close to the deal, United's superior financial strength has given them a huge advantage in negotiations with Pogba's agent, Mino Raiola, and forced Real to admit defeat in their pursuit of the player.
At this point in negotiations, the basic transfer fee for Pogba is understood to start at around £85m (€100m).
However, when taking into account add-ons and bonuses related to the success of the player and the club - as well as Raiola's fee - the total amount United could pay for Pogba's transfer could reach over £105m (€123m).
 
cr7.jpg
 
Back
Top Bottom