Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapo ni experience plus taste.

Namuona martial anachukua namba 9 permanently.
Namba 9 kama playing position au kama Jersey number?

Kama ni playing position sidhani kama mou atamtumia hivo pia dogo anakua na impact sana akitokea kushoto kuliko akicheza kama #9

Kwa upande wa jersey inaonekana pia kutakua na baadhi ya mabadiliko kidogo kwa muujibu wa kitbag ( ambao ndio wana run megastore) zlatan anaonekana kuchukua namba ya Martial (9), wakati mata, januzaj, depay na morgan wakabadilishiwa jersey namba.
 
msisahau kumpigia kura kijana wetu martial amekuwa nominated kwenye cover la fifa 17

https://www.easports.com/uk/fifa/cover-vote

fifa-17-cover-vote.jpg
 
Wakuu naona mnafanya usajili motomoto kweli msimu huu mmepania ... kila la kheri tukutane ligi ikiianza

687228b10e9b8cdcba4fa4a421479c5b.jpg
 
Back
Top Bottom