Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mwaka wa pili sasa Manchester na madrid mnatunishiana misuli, ilianza kwa de gea saizi mpo kwa pogba.
 
Kama ni kweli! ! Zidane ametumia busara sana kwa kweli! ! Mino nia yake ni kumkomoa Perez na Real Madrid kwa ujumla, ninadhan na Zizou ameliona hilo!! sasa hiyo pesa awakamue United,

Kante akipatikana atatukua mbadala mzuri tu wa Casemiro, kama club wakifanikisha usajili itakua poa! !

Kwa upande wa Andre Gomez, dau lake ni kubwa sana ukizingatia bado anahitaji kuimprove, pia sio aina ya mchezaji tunayemhitaji kwasasa, kama anahitajika kiungo mwingine kama Vp Zizou ambakize Asensio!!
Kama Perez anataka Zidane atengeneze timu yake inabidi amsikilize na aache kusajili wachezaji anavyojisikia.Pogba anapendelea kwenda Real Madrid kuliko United while Raiola anataka aende United anajua atapata hela nyingi

Zidane anajua kama Pogba anasajiliwa huenda ikasababisha Kroos akataka kuondoka kuna habari Bayern wanapenda kumrudisha Kroos na Pep anamtaka ni ngumu Pogba/Modric/Kroos mmoja wao kukubali kukaa benchi.For technical reason Madrid hawana shida na Pogba kwa sasa
 
#Wolfsburg cast line for #RealMadrid promise Borja #Mayoral: "He's been outstanding" -[as]

CnBTnbMW8AAcbhv.jpg:large
 
Arbeloa: That's what happens when you don't call up the world's best No. 9

CnCjXuFXEAACrPz.jpg:large
 
Real Madrid could close the signing of Andre Gomes (Portugal NT) from Valencia this week. [MARCA]

CnFPJz-WcAADU6S.jpg:large
 
#Official:

Valencia have completed the signing of midfielder Alvaro Medran from Real Madrid.

Reports suggest the transfer is worth €1.5 million, while Madrid maintain an option to re-sign the player.

The 22-year-old has penned a 4-year deal with the club and follows Portugal international Nani in the door at the Mestalla.

Best of luck Medran from all madridistas!

hi-res-7edf7892fb934f730f92941aa1e28acd_crop_north.jpg
 
Real Madrid reportedly want first option on Ricardo Rodriguez in the deal that takes teenage striker Borja Mayoral to Wolfsburg.

According to Spanish sources Wolfsburg will not agree to a season-long loan for Mayoral if there is no option for a permanent transfer next summer.

Klaus Allofs, sporting director of the club recently stated the following:

“The deal for Borja Mayoral isn’t closed yet, We’re in talks because he’s a great player who had brilliant performances in the Youth League last season and Madrid’s youth teams.”

Consequently, Madrid may ask for preferential treatment in negotiations for Rodriguez, were Wolfsburg to sell the player, with a €25m fee being mooted.

The Switzerland international has a Spanish father, who is on record as saying his son “has always dreamt of playing in Spain”, and Los Blancos are said to have long held an interest in the left-back. [Source AS]

13627218_289720124715395_914004392898770626_n.jpg
 
Most passes completed at Euro 2016:

- Toni Kroos (581)
- Jerome Boateng (392)
- Paul Pogba (387)
- Mesut Özil (366)
 
Goals scored by Real Madrid players in the Euro:

- Bale: 3
- Cristiano: 3
- Morata: 3
- Modric: 1

Assists:
- Cristiano: 3
- Kroos: 1

[@primillo7]
 
Sports Italia | Italian sources are claiming that AS Roma’s sporting director Walter Sabatini will meet the agent of Real Madrid centre-back Nacho tomorrow.

The giallorossi want to strengthen their defensive line and have shortlisted the Spanish defender as a potential reinforcement for the 2016-17 campaign.

AS Roma have almost completed the signing of Juan Jesus from Inter and are planning to sign Nacho on a loan deal too.


13669162_290177338003007_4785828283155821530_n.jpg
 
Back
Top Bottom