Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1463861447535.jpg
 
mie nampa hongera Dada yangu kipenzi everlenk tu.... wengine hasa Nzi na Belo na DonDonald tusijuane ila DonDonald timu yetu si moja? Euro16?

Hahahahaha hapo tuu mimi na wewe tunakuwa upande mmoja {Three Lions}

Msimu ujao itabidi mjitahidi hata Carling Cup mbebe na nyie
 
Aiseee karibu mkuu tulikumiss sana Leo FA itawaleta wote...... bado Bulldog
feeling is mutual,Hahaha unajua LVG alikuwa ananiboa sana kwa blunders zake unforgivable one,kuanzia kwenye team selection,subs,na tactics kwa hyo roho ilikuwa inaniuma sana kuendelea kuijadili man u iliyo chini yake,ila kwa leo kombe ndo ilikuwa priority ya kwanza,we are glad ametuwezesha hlo japo kwa tabu sana,sasa ni wakati wake ahame na kuondoka kwa hiari.
#We are partying till down GGMU.
 
Back
Top Bottom