Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimefurahi sanaaa hususani kuona vijana hawajamuangusha kocha LVG maana yani amekuwa kwenye mawazo sana huu msimu kwa kuwa aliweka jitihada za kutosha kuitetea Man U na kuiboresha, nahisi hata uzito wake LVG umepungua but finally vijana they did the best for him......nimefarijika sana nilitaka ata kudondosha chozi nikimuangalia...... Usiombe stress za ukocha
 
BBC wanasema Mourinho atatangazwa kocha mpya next week. Mourinho anakuja kuibadilisha Manchester United kuwa Chelsea B. Park the Chevloret Bus in the middle of the stadium and take away all four tires off.
 
CjAFaUPW0AAInwB.jpg
Duh ukiitizama hii picha wachezaji wote wanautamani mpira wengine uingie wengine usiingie.
 
feeling is mutual,Hahaha unajua LVG alikuwa ananiboa sana kwa blunders zake unforgivable one,kuanzia kwenye team selection,subs,na tactics kwa hyo roho ilikuwa inaniuma sana kuendelea kuijadili man u iliyo chini yake,ila kwa leo kombe ndo ilikuwa priority ya kwanza,we are glad ametuwezesha hlo japo kwa tabu sana,sasa ni wakati wake ahame na kuondoka kwa hiari.
#We are partying till down GGMU.
Asanteee, na pole kwa yote hope mbadala wake utapatikana.......
 
Nimefurahi sanaaa hususani kuona vijana hawajamuangusha kocha LVG maana yani amekuwa kwenye mawazo sana huu msimu kwa kuwa aliweka jitihada za kutosha kuitetea Man U na kuiboresha, nahisi hata uzito wake LVG umepungua but finally vijana they did the best for him......nimefarijika sana nilitaka ata kudondosha chozi nikimuangalia...... Usiombe stress za ukocha
Hahahhaha mtani kumbe saaingine una roho ya huruma?
 
BBC wanasema Mourinho atatangazwa kocha mpya next week. Mourinho anakuja kuibadilisha Manchester United kuwa Chelsea B. Park the Chevloret Bus in the middle of the stadium and take away all four tires off.

Hahahaha JOSE hawezi kuleta mpira wake wa kupaki bus.... safi sana Mourinho njoo ulete ubingwa
 
Back
Top Bottom