Yaani katika pretender mkubwa kule MANU baada ya kuguswa na mcheza wa opposite team hakuna kama Nani. Huwa anajigaragaza utadhani kachomwa kisu halafu jamaa akipigwa na yellow card yeye huyo anainuka na kudunda bila hata kuchechemea, sijui kwanini hawajamshtukia hadi sasa.
Kaka NANI alivyochezewa rafu alikuwa hajaona jinsi alivyoumia lakini baada ya kushusha soksi na kuona jinsi alivyochimbika na damu zinavyotoka ilibidi adondoke na kuanza kulia ukweli ile rafu ilikuwa mbaya sana na baada ya game Caragher alienda ku-apologize kwa wachezaji wa Manchester
Duh poleni sana mashetani............Mechi hii ni kama vile Simba na Yanga..........hii ndio the Big Match in the UK...wengine tutapiga kelele weeeee lakini mjue kuwa nyie ni Mtibwa (Aresnal), Morogoro stars (Chelsea), Kagera Star (Tottenham)....... nk
To be fair, United were missing some key players, like Ferdinand, Vidic, Clattenberg, and Howard Webb..., lol. Huyu wa mwisho mnakumbuka alitokea kwenye FB ya Babel akiwa na jezi ya Manure. Tehe tehe tehe.............
Haondoki mtu hapa,wao kule kwetu wanakaaa hata baada ya matanga....sasa wiki hii nzima,naotesha mizizi hapa......mi raha tuu.....wapi Manda na Belinda????
To be fair, United were missing some key players, like Ferdinand, Vidic, Clattenberg, and Howard Webb..., lol. Huyu wa mwisho mnakumbuka alitokea kwenye FB ya Babel akiwa na jezi ya Manure. Tehe tehe tehe.............