Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Najua sana kwamba wamebadirika mkuu, lakini bado tutawafunga kutoka na style yetu ya kucheza huwa wanapata shida sana.

Tutakubali kufungwa na nyie ili tusikubali Monkey United wavunje rekodi yetu na sio zaidi ya hivyo mkuu.............
 
Naona NANI ameumia vibaya huenda akawa nje kwa muda mrefu

Nani-injury-vs-liverpool.jpg
 
ha ha ha mkuu hii kauli katoka kuniambia mshabiki mwenzako wa liverpool baada ya game yenu leo lol.

Hata mngekuwa nyie mngefanya the same......................... we are back for real ila tumechelewa ndio maana inabidi tuwapeni point tatu kwenye golden plate ili jamaa wasivunje rekodi yetu!
 
Hata mngekuwa nyie mngefanya the same......................... we are back for real ila tumechelewa ndio maana inabidi tuwapeni point tatu kwenye golden plate ili jamaa wasivunje rekodi yetu!

Dogo utapata makonzi muda si mrefu ukashitaki kwa kiranja mkuu.
 
Hata mngekuwa nyie mngefanya the same......................... we are back for real ila tumechelewa ndio maana inabidi tuwapeni point tatu kwenye golden plate ili jamaa wasivunje rekodi yetu!
Kwa Arsenal labda mjifunge wenyewe othewise hawawezi kuwafunga
 
Kwa Arsenal labda mjifunge wenyewe othewise hawawezi kuwafunga

Labda kama watapata penati kadhaaa! Maana wana divers wengi ....Cesc, Van Persie, Walcott, Nasri etc etc etc
 
Katika mechi zilizobakia atakaechukua ubingwa ni yule atakayebahatika kupangiwa marefaa wazuri,Msimu huu naona ni marefarii ndo wataamua mshindi.
 
Katika mechi zote zilizobaki kuna mechi moja tu inayonipa wasi wasi nayo ni dhidi ya West Ham United, kwa wale washabiki wenzangu wa EPL mtajua nazungumzia nini. Hawa jamaa wana kawaida ya kutuaribia dakika za mwisho mwisho.
 

hdwallpapers2302.jpg

Naomba wale wenzangu wa kutoka Old Trafford tuendelee kushangilia ushindi wa leo. Tuendelee kuzibua vizibo.
Tumeona mchezo wa vijana wapya, Pique na Simpson.
Kanyaga twende.

Mods tafadhali naomba mbadilishe hiyo picha (haivutii kabisa) juu kwenye mwanzo wa thread na muweke hii (chini). Ahsante.
68v31i.jpg
 
Back
Top Bottom