radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hiki kijamaa sikipendi na para lake lile,
Anahasira na United utafikiri tumewahi kumuibia mkewe...!!!
BACK TANGANYIKA
inasemekana haka karefa ni chelsea damu man na arsenal wameumia sana kwa dean
Hiki kijamaa sikipendi na para lake lile,
Anahasira na United utafikiri tumewahi kumuibia mkewe...!!!
BACK TANGANYIKA
Mkuu kwani vipi tena?
Mi nimeona tu mechi imekuwa postponed mpaka saa nne, sielewi kimetokea nini? Ila leo hata waahirishe mpaka saa tisa, tutakesha tu no matter what lazima tugonge nyundo leo...
Aaaaah GGM naona wanapasha sasa
BACK TANGANYIKA
hicho hapo kipande cha tukio lenyewe mkuuMashabiki wa Westham wamerishambulia bus lililobeba wachezaji na stuff wa Man utd, imepelekea game kusogezwa mpaka 22:30Mkuu kwani vipi tena?
Mi nimeona tu mechi imekuwa postponed mpaka saa nne, sielewi kimetokea nini? Ila leo hata waahirishe mpaka saa tisa, tutakesha tu no matter what lazima tugonge nyundo leo...
Aaaaah GGM naona wanapasha sasa
BACK TANGANYIKA
Ni shabiki wa spurs huyo mkuuinasemekana haka karefa ni chelsea damu man na arsenal wameumia sana kwa dean
Yani mimi kama mchawiiiii,...they have more reason to win than you.
Litarudi tu we subiriYani mimi kama mchawiiiii,...they have more reason to win than you.
Labda kuongezwaLitarudi tu we subiri