Huku UNITED wakipiga pasi nyingi on their own half kama vile wao ndo wametangulia. Tulitakiwa kufanya pressing za maana sio kutawala tuu mpira kwenye half yetu huku tukikaribisha mashambulizi. Sijui nani anaiharibu hii timu
Najiwazia shabiki aliyekuwa kifungoni kwa miaka mitano umuweke mbele ya kideo sasa hivi lazima akwambie West Ham ndio waliovaa jezi nyeupe. Hakuna namna
Mkuu, hawajamaa wanataka kucheza Uropa msimu ujao. Na hii ni mechi ya mwisho ktk uwanja wao, hata fujo walizotufanyia mapema wakati tukiingia pale ilikuwa ni kutuvuruga kisaikolojia ili wafanye yao kirahisi..
Tatizo wameyapata machezaji menyewe pamoja na kocha wao yapo tu hayajui kujiongeza..!! Poor Vgl
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.